Kama JWTZ halitowaomba Radhi Raia wasio na Hatia WALIOTESWA KINYAMA na MP wa Lugalo Juzi, nawashauri walishtaki Jeshi

Kama JWTZ halitowaomba Radhi Raia wasio na Hatia WALIOTESWA KINYAMA na MP wa Lugalo Juzi, nawashauri walishtaki Jeshi

Wewe umejuaje kama hawana hatia? hii mitaa inatabia ya kufichana maovu na hivi vigenge vya bodaboda ni washirika wa maovu sasa watatajana tu na wengine wako wapi. Hawa kina Mama wengi wanaficha wahuni na kwakuwa wamekimbia basi kipigo kitawafanya watajane tu wamekimbilia wapi. Wewe hujui hawa vijiwe vya bodaboda wanayoyafanya.
Hii si kazi ya Jeshi ni kazi ya polisi. Kuvamia makazi ni kinyume cha kiapo cha jeshi cha kuwalinda.

Iwapo mmeamua kuasi kiapo cha kuwalinda raia na sasa mnawapiga jitahidini msivuke mstari wa uvimilivu wa raia wakaamua liwalo na liwe sababu ikifikia hapo hakuna kitu mtafanya kuwashinda na raia wakiashaamua jambo lao uniform zitavaliwa kambini tu huku nje zitafichwa. Jeshi na raia ni marafiki wa kutupwa ambapo raia anaheshimu sana jeshi na kulitii, mkibadili hilo wakawa maadui ni vita vya wenyewe kwa wenyewe na jeshi haliwezi shinda sababu hasira za raia ni sleeping giant, hazina madhara mpaka zikiamshwa.
 
Kama wapo Raia waliouliw mikono mwao na raia walio jeruhiwa hatua ikichukiliw watakuw wamehatarsha ajira zao

Kumbuka mkuu WA kikosi hii taarfa wanakuw wanalindan kwakuw inawez wagharmu wengi kwenye chain of command


ILA hili inabid hatua za kinidhamu kijeshi na kikatba zichukue mkondo ili huu upuz uishi ,

Wahanga ni Bora waend kuchukua pf3 watibiw huo mtaa wote waganga na wachawi wakutane watoe adhamu Kali kwa hao Askari jeshi walio miss behave
 
GENTAMYCINE sijapendezwa na Kitendo cha Raia Kato kujichukulia Sheria mkononi na Kumchoma Kisu Afande Lt. Col. Muna na ninalikemea sana.

Ila GENTAMYCINE sijapendezwa na Foolish Approach ya Wanajeshi ( hasa MP wa Lugalo ) ya kuamua Kuvamia hovyo Nyumba za Watu, Kuvunja Milango yao, Kupiga hovyo Watu na hasa hasa Kuwajeruhi vibaya sana Wamama ( tena Watu wazima ) ambao wengi Wao hadi Usiku huu GENTAMYCINE naandika huu Uzi Wanauguza Majeraha yao huku Mmoja wapo alikamatwa na MP hao akiwa Dukani Kwake na kuamrishwa Kuingia Garini huku akiliacha Duka likiwa wazi ambapo Wahuni waliingia na Kuiba Pesa zote za Hesabu na Simu zilizokuweko ndani.

Nijuavyo GENTAMYCINE ni kwamba JWTZ wana Kitengo chao cha Mawasiliano, Mahusiano na Elimu kwa Umma ( Kurugenzi ya Habari na Mawasiliano ) hivyo Kiungwana tu wangejitokeza na Kukiri Mateso haya kufanyika kwa Raia wasio na Hatia na kuomba Radhi ila wamechagua Kunyamaza na pengine hata Kufurahia kilichofanyika

Kuna Taarifa ambazo si nzuri nimezipata Jioni hii ( japo naendelea Kuzithibitisha ) kuwa kuna Wanawake Wawili waliokamatwa Baa ya Igole au ya Bombardier nao Kujumuishwa katika Kundi la Watu 74 Waliokamatwa na kupelekwa Kambini Mwenge kupewa Adhabu Kali za Kijeshi zilizojumuisha Kuchapwa na Virungu na Fimbo Ngumu Migongoni, wakirukishwa Vichurachura, wakibebeshwa Mawe na Kubiringitwa Udongoni Wamekufa ( Wamefariki ) leo.

Na kwa leo Mchana, Alasiri na hata Jioni hii GENTAMYCINE nimeshuhudia Raia kadhaa ( tena Wababa na Wamama ) Watu wazima bila kuwasahau Mabinti wakiwa Wamevimba Miguu, Macho, Ugoko na Pua zao na Wakilalamika sana na Kuhoji Kosa lao hasa hadi Kuteswa na Kupigwa kote kule Juzi Usiku kulikuwa ni nini?

GENTAMYCINE niliamua kwenda mbali zaidi kufanya Mahojiano na baadhi ya Wanasheria ( Mawakili ) juu ya Kilichofanyika na kudai kuwa kilikuwa ni Kinyume na Utaratibu wa Sheria za nchi na kwamba Wahusika wakiungana na kwenda Kushtaki hali itakuwa mbaya Kwao ( JWTZ ) hata kama wale MP wa Lugalo WALIOWATESA KINYAMA RAIA kwa kujua kuwa walichokuwa wanakifanya kilikuwa ni kibaya walivalia Kininja ili kuficha Nyuso zao Wasijulikane.

JWTZ nawapenda ila hapa mmebugi.
Yupo mwambulukuku, wakili asiye na kesi mahakamani, ongea nae alipeleke mahakamani.
 
Alafu ATA vyombo rasmi hawajatoa hiyo taarfa kuwa wananchi wameshambuliwa ....


Ata kam hawajatak ni watu wag wamewashambulia
 
Watu wanaogopa hata kuja mazoezini uwanjani !! kama jana na leo viwanja vilikua na watu kidogo sana !!!
Wajeda acheni kujitutumua mtakua mnaumia kwa sababu hamtaki kuamini kama mnaishi na raia maana mmepanga nyumba hizi hizi za uswahilini huenda wasikuue kwa kisu , ila ukarogwa au mwanao akafanyiwa vibaya au ukawekewa sumu maana hatuwezi jua huko kwenye kubeba beba raia huenda walikunotice wakukuwekea visasi ! mkipanda magari ya umma lipeni nauli ndo maana unapewa
mshahara fanya transaction ili tupate mzunguko wa pesa kodi zilipwe hizo hizo ndo zinakurudia kwa njia ya mshahara na hilo gari halitumii maji !! Pang'ang'a
Ukiomba kitu ukanyimwa au ukakataliwa / kuzuiliwa kupewa huduma fulani usikimbilie kujinasibu kwamba wewe mjeda ! fuata utaratibu uelezwe kwanini hujasaidiwa ! kama umeonewa unajua sehemu ya kulalamika nenda !! na Bank muwe mnapanga msitari kama watu wengine eti likija kulipa ada za watoto linapitiliza hadi mbele na hizo laki mbili huenda mlipewa hiyo priority kwa kutambua umuhimu wenu lakini sasa hamjitambui !! wanaume wako Gaza huko Ukraine sauti ya risasi ndo muziki mtamu maskioni kwao!! Wewe uko MayFair Bar unapiga wanaokukatalia maombi yako badala ufe vitani tukupe nishani unafia Bar !! Hii ni kuonesha hamna kazi za kufanya zaidi ya kwenda lindo nako mnaenda na vigodoro vya kulalia.

Hawa watu kadri wanavyoumia au kuwapoteza wenzao watawekana kitchen party wenyewe kwa wenyewe wafundane huko huko ! Nidhamu ya kupokea order wanayo !! ila sasa ushamba wa vazi dadeki !! yaan huko uswahilini wakipishana zamu za usafi chooni anaanza kujiongelesha mambo ya jeshi !! umeme wakipandisha bei au zamu yake ikafika hayuko vizuri anaanza kuvimba [emoji1787][emoji1787]

Kaeni kwenye hizo nyumba za kambi na chakula na vinjwaji kunyweni huko officer's mess !! mpaka mjifunze kubehave kama binadamu wa Karne ya 21 .

Mkuu GENTAMYCINE nasikia hapa kawe waliwahi kumuua kijana mdogo tu kwa ajili ya haya haya mambo ya kutoa adhabu !! ikaleta vurugu mtaani !!!
Chukua like mkuu. Nina jamaa yangu wa damu sana wakati ameajiriwa kwa mara ya kwanza akataka kuleta huu ushamba. Tulikua kwenye daladala wote konda akapishana nae kauli kidogo akataka kuleta noma nikamzuia tulivyoshuka nikamchana awe humble atapigana na wangapi.

Now mstaarabu vibaya ile siku alichukia lakini jioni alinipigia simu akaniambia kweli alizingua.
 
Kibano kitaendelea hadi jasho liwatoke hakuna atakayewatetea awe wa ndani au nje ili siku nyingine mjifunze.Hata watoto au familia zao hamuwezi kuwafanya lolote.Jifunzeni kuheshimu majeshi yetu, mnanyonyana korodani sababu ya wao kujitoa mhanga usiku na mchana laiti mngejua mazingira wanayofanyia kazi na hawana pahala pa kulalamikia.Next time mjifunze na kuwa na adabu, hiyo ni trailer msiombe picha ianze
Hakuna asiyeheshimu majeshi ila wanajeshi baadhi wana tabia za kishamba sana. Kosa la mtu mmoja iweje uadhibu kijiji wakiwemo vijana wadogo na wakinamama. Kama wao hodari basi waende somalia na sudani huko wakapambane.
 
Hii si kazi ya Jeshi ni kazi ya polisi. Kuvamia makazi ni kinyume cha kiapo cha jeshi cha kuwalinda.

Iwapo mmeamua kuasi kiapo cha kuwalinda raia na sasa mnawapiga jitahidini msivuke mstari wa uvimilivu wa raia wakaamua liwalo na liwe sababu ikifikia hapo hakuna kitu mtafanya kuwashinda na raia wakiashaamua jambo lao uniform zitavaliwa kambini tu huku nje zitafichwa. Jeshi na raia ni marafiki wa kutupwa ambapo raia anaheshimu sana jeshi na kulitii, mkibadili hilo wakawa maadui ni vita vya wenyewe kwa wenyewe na jeshi haliwezi shinda sababu hasira za raia ni sleeping giant, hazina madhara mpaka zikiamshwa.
Wewe nadhani mgeni nchi hii, unadhani hili ndio tukio la kwanza Tanzania? kama unadhani hivyo basi wasalimie huko uliko huijui Tz.
 
Kibano kitaendelea hadi jasho liwatoke hakuna atakayewatetea awe wa ndani au nje ili siku nyingine mjifunze.Hata watoto au familia zao hamuwezi kuwafanya lolote.Jifunzeni kuheshimu majeshi yetu, mnanyonyana korodani sababu ya wao kujitoa mhanga usiku na mchana laiti mngejua mazingira wanayofanyia kazi na hawana pahala pa kulalamikia.Next time mjifunze na kuwa na adabu, hiyo ni trailer msiombe picha ianze
Hao waliopiga raia mtaani ni wapumbavu kama wewe
Na kama angekuwa ameshikwa mama yako na hao wanajeshi huko kawe na kupigwa usingeandika uwo ujinga.
 
Kibano kitaendelea hadi jasho liwatoke hakuna atakayewatetea awe wa ndani au nje ili siku nyingine mjifunze.Hata watoto au familia zao hamuwezi kuwafanya lolote.Jifunzeni kuheshimu majeshi yetu, mnanyonyana korodani sababu ya wao kujitoa mhanga usiku na mchana laiti mngejua mazingira wanayofanyia kazi na hawana pahala pa kulalamikia.Next time mjifunze na kuwa na adabu, hiyo ni trailer msiombe picha ianze
Ebu fikiria kama mmoja waathirika a hicho kipigo cha Jeshi mtoto wake ni DR, kila mjeshi atakae pita kwenye hospital alipo lazima ale sindano ya sumu! Vita vinapigwana kwa njia nyingi sana, muhimu watu kuishi kwa kuheshimiana na kupenda, ili amani itawale!!
 
Kibano kitaendelea hadi jasho liwatoke hakuna atakayewatetea awe wa ndani au nje ili siku nyingine mjifunze.Hata watoto au familia zao hamuwezi kuwafanya lolote.Jifunzeni kuheshimu majeshi yetu, mnanyonyana korodani sababu ya wao kujitoa mhanga usiku na mchana laiti mngejua mazingira wanayofanyia kazi na hawana pahala pa kulalamikia.Next time mjifunze na kuwa na adabu, hiyo ni trailer msiombe picha ianze
Mtu timamu hawezi kuwa wewe
Jipige kifua sema mimi ni mpumbavu

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Wewe umejuaje kama hawana hatia? hii mitaa inatabia ya kufichana maovu na hivi vigenge vya bodaboda ni washirika wa maovu sasa watatajana tu na wengine wako wapi. Hawa kina Mama wengi wanaficha wahuni na kwakuwa wamekimbia basi kipigo kitawafanya watajane tu wamekimbilia wapi. Wewe hujui hawa vijiwe vya bodaboda wanayoyafanya.
Sasa muuwaji yuko mikononi mwa police, sasa hizi fujo tena mtaani za jeshi na raia za nini!?
 
GENTAMYCINE sijapendezwa na Kitendo cha Raia Kato kujichukulia Sheria mkononi na Kumchoma Kisu Afande Lt. Col. Muna na ninalikemea sana.

Ila GENTAMYCINE sijapendezwa na Foolish Approach ya Wanajeshi ( hasa MP wa Lugalo ) ya kuamua Kuvamia hovyo Nyumba za Watu, Kuvunja Milango yao, Kupiga hovyo Watu na hasa hasa Kuwajeruhi vibaya sana Wamama ( tena Watu wazima ) ambao wengi Wao hadi Usiku huu GENTAMYCINE naandika huu Uzi Wanauguza Majeraha yao huku Mmoja wapo alikamatwa na MP hao akiwa Dukani Kwake na kuamrishwa Kuingia Garini huku akiliacha Duka likiwa wazi ambapo Wahuni waliingia na Kuiba Pesa zote za Hesabu na Simu zilizokuweko ndani.

Nijuavyo GENTAMYCINE ni kwamba JWTZ wana Kitengo chao cha Mawasiliano, Mahusiano na Elimu kwa Umma ( Kurugenzi ya Habari na Mawasiliano ) hivyo Kiungwana tu wangejitokeza na Kukiri Mateso haya kufanyika kwa Raia wasio na Hatia na kuomba Radhi ila wamechagua Kunyamaza na pengine hata Kufurahia kilichofanyika

Kuna Taarifa ambazo si nzuri nimezipata Jioni hii ( japo naendelea Kuzithibitisha ) kuwa kuna Wanawake Wawili waliokamatwa Baa ya Igole au ya Bombardier nao Kujumuishwa katika Kundi la Watu 74 Waliokamatwa na kupelekwa Kambini Mwenge kupewa Adhabu Kali za Kijeshi zilizojumuisha Kuchapwa na Virungu na Fimbo Ngumu Migongoni, wakirukishwa Vichurachura, wakibebeshwa Mawe na Kubiringitwa Udongoni Wamekufa ( Wamefariki ) leo.

Na kwa leo Mchana, Alasiri na hata Jioni hii GENTAMYCINE nimeshuhudia Raia kadhaa ( tena Wababa na Wamama ) Watu wazima bila kuwasahau Mabinti wakiwa Wamevimba Miguu, Macho, Ugoko na Pua zao na Wakilalamika sana na Kuhoji Kosa lao hasa hadi Kuteswa na Kupigwa kote kule Juzi Usiku kulikuwa ni nini?

GENTAMYCINE niliamua kwenda mbali zaidi kufanya Mahojiano na baadhi ya Wanasheria ( Mawakili ) juu ya Kilichofanyika na kudai kuwa kilikuwa ni Kinyume na Utaratibu wa Sheria za nchi na kwamba Wahusika wakiungana na kwenda Kushtaki hali itakuwa mbaya Kwao ( JWTZ ) hata kama wale MP wa Lugalo WALIOWATESA KINYAMA RAIA kwa kujua kuwa walichokuwa wanakifanya kilikuwa ni kibaya walivalia Kininja ili kuficha Nyuso zao Wasijulikane.

JWTZ nawapenda ila hapa mmebugi.
Uzuri wake Amiri jeshi mkuu,SIJUI jemedari NI mama.Je anasemaje kwa hili???
 
Wewe nadhani mgeni nchi hii, unadhani hili ndio tukio la kwanza Tanzania? kama unadhani hivyo basi wasalimie huko uliko huijui Tz.
Jeshi lina majukumu mengi mazuri kuliko mabaya machache wanayofanya ndani ya nchi hii ndo maana bado linaheshimika. Angalizo ni kuwa ubaya kwa nchi na raia usizidi wema hasira za raia zikaamshwa. Hayo matukio unayoyasema ni ubaya, na ndio unaopaswa kudhibitiwa.
 
Sio kwamba hawaoni

Sio kwamba hawajui kwamba wamefanya makosa

Sio kwamba wahusika hawajaguswa na hili

Sio kwamba hawawezi kusema

La

Ila kwakuwa washajiona wao miungu watu basi watapotezea

Ukitaka walisemee itokee hivi

Jamii Forums wachapishe taarifa hii katika mitandao ya kijamii kama Facebook, Instagram na twitter juu ya unyanyasaji wao

Trust me lazima watasema Tu

Vinginevyo tuendelee kupaza sauti pengine Mungu atawaadhibu kama anavyo muadhibu kanali huko sakafuni

Tanzania kuna uoga ila Amani tunadanganywa

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
Cc: JamiiForums Active Moderator Maxence Melo

Wameona haya matukio ila naona kwenye Page za Jamiiflrum Wako kimya sijui Mayb na wao Wanaogopa
 
W
Hivi kwanini mkuu wa jeshi, waziri wa ulinzi hata raisi wasitoe tamko kuu mwanajeshi au wanajeshi kujichukulia Sheria mkononi kwa kutesa raia ukipatikana na kosa ilo ni kufukuzwa kazi moja kwa moja, wanawalea ndo hayo yanayotokea mitaani.
Si wanawake hao au???
 
Back
Top Bottom