Kama JWTZ halitowaomba Radhi Raia wasio na Hatia WALIOTESWA KINYAMA na MP wa Lugalo Juzi, nawashauri walishtaki Jeshi

Unapohimiza Maadili kwa Raia hao Wanajeshi wana Maadili? Wangekuwa na Maadili uyasemayo na ayasemayo Commander In Chief ( Rais Samia ) baadhi ya hawa Wanajeshi wangekuwa Kutwa wanatoka Lugalo ndani kuja Kuvuta Bangi Ukwamani kwa Mapupu Nyumba ya ALIYOKUWA akiishi Raia aliyekuwa ndiyo akiwauzia na maarufu Kawe aitwae Patrick sasa ni Marehemu?

Kwa sasa mdogo wake Marehemu Patrick ndiyo anawauzia Bangi Wanajeshi wa Lugalo ( baadhi ) na mida yao ya kwenda Kulanduka hapo ni Saa 6 hadi Saa 7 Mchana na Jioni Saa 11 hadi Saa 12 na Usiku wa Saa 3 hadi Saa 4 na hata Police wa Kituo cha Kawe wanalijua hili ila wameshatishwa nao kuwa Wasithubutu kwenda hapo.

Huna Akili....!!
 
Hivi huko majumbani mitaa ya kawe na viunga vyake watu hawamiliki bastola au silaha za moto.

Maana kama mtu anakuja anabomoa milango na kutoa vichapo kwa wataokutwa huo ni uonevu, hao wajeda washenzi wanatakiwa wawahishwe kuzimu.
 
Makonda aaanze na hili
 
Katafuteni shuguli za kufanya basi
Nendeni mkaanzishe chokochoko na rwanda Uganda kenya huko mipakani
Acheni kugombania madem bar nk
Jeshi gani lina mambo ya kitoto

Ova
Waende Kote ila siyo Uganda hii ya Museveni na Rwanda ya Rais nimpendae duniani 'Genius, Millitary and Intelligence Master' Kagame kwani WATAKUFA kama KUKU na hawatoamini.
 
Hivi huko majumbani mitaa ya kawe na viunga vyake watu hawamiliki bastola au silaha za moto.

Maana kama mtu anakuja anabomoa milango na kutoa vichapo kwa wataokutwa huo ni uonevu, hao wajeda washenzi wanatakiwa wawahishwe kuzimu.
Dawa moja kwanza ki kuwapotezea,aina ya dhalau. Hivi,mtu mzima wenye akili timamu,unaweza ukatafuta sifa kwa kumpiga chizi?

Na hawa sasa,hasa MPs!!! Ni aibu ya karne kwa jeshi. Aliyeua mwenzao,si anajulikana? Si wangemtafuta huyo? Badala ya kushirikisha raia,kwa akili nanhekima kujua muuaji yupo wapi,wanataka wajionyeshe kuwa wanajua kupiga na kuadhibu! Ili iweje labda! Je,ina maana mkuu wa kambi hana taarifa? Amili jeshi mkuu,hana taarifa!? Hili si la raia kukemea,bali la viongozi wanaohusika. Hivi,hawajiulizi hiyo picha inakaaje,umevaa nguo za jeshi,unapiga,unaua,unatumia gari la serikali,kuwanyanyasa walonunua hilo gari na hizo nguo,wanaokulisha,af jioni unarudi huko huko! Wamejenga kitu gani kati ya familia za walioteswa na jeshi lenyewe?
 
sijawahi kutukana lakini wewe ni @#$%^&*|. mbu sana
 
Nimeprinti hii komenti na hapa nipo nakula , jioni nitakuwa mbalizi _ Mapacha lounge nikifurahia maisha nitawapa wajeda wote wa hapa kambi ya mbalizi ninaofurahia nao .

Ila kwa uchache ni kuwa hata askari polisi nitawapa wasome ili wajue raia mmechafukwa .

Sitawapa tu wale wa suti tu .
 
Ishia hapo hapo maana hizi protoko hadi kichwa kinauma🀣
 
heshimuni jeshi hayo mengine ni porojo tu, hakuna jaji wala hakimu atakayeweza kuwaelewa. Mbona mna akili za kipuuzi km kina Mwabukusi? Nchi hii ina miiko ya kuitii na ni kwa lazima siyo option. Msipeleke uhanarakati mpaka jeshini
 
we kenge unajidanga
WE KENGE UNAJIDANGANYA PAMOJA NA HAO WAJINGA WENZAKO. ETI WANAISHI NYUMBA HIZI HIZI, MTAZIHAMA HIZO NYUMA NA KURUDI MLIKOTOKA HUKO KWENU KIJIJINI. PELEKENI UPUUZI WENU SEHEMU NYINGINE SIYO JESHINI WE KIMA. RUDIENI TUKIO KM HILO MUONE.
 
Wasanue mkuu, ni njia mojawapo ya kuwasaidia suti nyeusi sina uzoefu nao ila sidhani kama wana hii michezo hata kama wanayo ni ya kutafutia tu ujiko labda kula mali safi au kusaidiwa shida zao binafsi ambalo ni jambo la kawaida hata kwa kada nyingine kama walimu na madktari inamuongezea sehemu za kukopa kwa Mangi nadhani kidogo shule imewasaidia !! Maaskari polisi wanaofanya huu ujinga ni wachache sana bifu lao na raia ni rushwa ! Ila kivingine maaskari fresh tu.

Tatizo la hawa wajinga wengine wanajimwambafai kila sehemu yaan hata kama hayuko sahihi anataka apigiwe magoti kisa ni JW sasa kinachowakuta ndo hicho anaacha mke na watoto na vyeo anakufa kwa sifa za kijinga !! Reasoning yao ni ndogo wakati mwingine kweli labda raia ana makosa lakini inafahamika sehemu za kumpeleka au kupiga marufuku ila sasa kwa kufikiri kwao ni zero wanampa doso πŸ˜€ wajitafakari
 
Kwa matukio haya,sitashangaa wakipindua nchi....wanaanzaga hivi hivi.....
Hao hawana jeuri hiyo. Wanachoweza ni kuleta ubabe tu kwa raia ambao wengi wao hawajui sheria. Yaani mimi uje kunivamia nyumbani kwangu na kuanza kunitesa kwa kosa nisilo na habari nalo si bora hapo kwangu pageuke kuwa Gaza na dunia ijue matokeo yake.
 
Sawa kwa niaba ya kenge wengine tunasema badilisheni mienendo yenu !! Hilo lililokufa limeacha mke na watakaomrithi huyo mjane ni hao hao raia i mean watamla πŸ˜‚πŸ˜‚ usikute na watoto kawaacha wengine wako shule ya msingi watasomaje ana familia iliyokua inamtegemea huko labda wazazi , !! Uchungu aliowaachia marafiki !!

Fikiria unasababisha familia nzima mzigo mzito (achilia mbali uchumi hata malezi tu ambao mke atahangahika nao) kisa tu sifa za kijinga kujimwambafai na kujitutumua eti mjeda
Baada ya msiba familia yake itaanza kuandamwa wataambiwa watoke kwenye hizo nyumba za jeshi haya pengine ndo alikua kwenye harakati za kuinua kibanda πŸ˜‚πŸ˜‚ na ukiona mtu anapenda hayo mambo ya utemi ujue hata nyumbani ni mkorofi ! Hapo mama hajui hata PIN code ya bank ya mumewe mpaka waanze kwenda bank kuomba waonewe huruma wapate kiasi cha kusurvive wakati wanaprocess mirathi

Muwe mnafikiria basi hata kuhusu wategemezi wenu itawapunguzia kufanya ujinga.
Sikubaliani na mauaji ya askari wetu lakini hata nyie sio waelewa comment tu inaonesha ni kiasi gani hamuwezi kufikiria na hapo mpo nchi ambayo mtu anakua askari hadi anastaafu sauti ya risasi aliyowahi kusikia ni ya mazoezi na range tu πŸ˜‚πŸ˜‚ bado mnaweweseka hivi mgekua mna Trauma za vita si ndo ingekua balaa !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…