Kama JWTZ halitowaomba Radhi Raia wasio na Hatia WALIOTESWA KINYAMA na MP wa Lugalo Juzi, nawashauri walishtaki Jeshi

Kama JWTZ halitowaomba Radhi Raia wasio na Hatia WALIOTESWA KINYAMA na MP wa Lugalo Juzi, nawashauri walishtaki Jeshi

Watu wanaogopa hata kuja mazoezini uwanjani !! kama jana na leo viwanja vilikua na watu kidogo sana !!!
Wajeda acheni kujitutumua mtakua mnaumia kwa sababu hamtaki kuamini kama mnaishi na raia maana mmepanga nyumba hizi hizi za uswahilini huenda wasikuue kwa kisu , ila ukarogwa au mwanao akafanyiwa vibaya au ukawekewa sumu maana hatuwezi jua huko kwenye kubeba beba raia huenda walikunotice wakukuwekea visasi ! mkipanda magari ya umma lipeni nauli ndo maana unapewa
mshahara fanya transaction ili tupate mzunguko wa pesa kodi zilipwe hizo hizo ndo zinakurudia kwa njia ya mshahara na hilo gari halitumii maji !! Pang'ang'a
Ukiomba kitu ukanyimwa au ukakataliwa / kuzuiliwa kupewa huduma fulani usikimbilie kujinasibu kwamba wewe mjeda ! fuata utaratibu uelezwe kwanini hujasaidiwa ! kama umeonewa unajua sehemu ya kulalamika nenda !! na Bank muwe mnapanga msitari kama watu wengine eti likija kulipa ada za watoto linapitiliza hadi mbele na hizo laki mbili huenda mlipewa hiyo priority kwa kutambua umuhimu wenu lakini sasa hamjitambui !! wanaume wako Gaza huko Ukraine sauti ya risasi ndo muziki mtamu maskioni kwao!! Wewe uko MayFair Bar unapiga wanaokukatalia maombi yako badala ufe vitani tukupe nishani unafia Bar !! Hii ni kuonesha hamna kazi za kufanya zaidi ya kwenda lindo nako mnaenda na vigodoro vya kulalia.

Hawa watu kadri wanavyoumia au kuwapoteza wenzao watawekana kitchen party wenyewe kwa wenyewe wafundane huko huko ! Nidhamu ya kupokea order wanayo !! ila sasa ushamba wa vazi dadeki !! yaan huko uswahilini wakipishana zamu za usafi chooni anaanza kujiongelesha mambo ya jeshi !! umeme wakipandisha bei au zamu yake ikafika hayuko vizuri anaanza kuvimba [emoji1787][emoji1787]

Kaeni kwenye hizo nyumba za kambi na chakula na vinjwaji kunyweni huko officer's mess !! mpaka mjifunze kubehave kama binadamu wa Karne ya 21 .

Mkuu GENTAMYCINE nasikia hapa kawe waliwahi kumuua kijana mdogo tu kwa ajili ya haya haya mambo ya kutoa adhabu !! ikaleta vurugu mtaani !!!
chalii unatukana mapot kindezi kisa uko nyuma ya keyboard?
 
Hao hawana jeuri hiyo. Wanachoweza ni kuleta ubabe tu kwa raia ambao wengi wao hawajui sheria. Yaani mimi uje kunivamia nyumbani kwangu na kuanza kunitesa kwa kosa nisilo na habari nalo si bora hapo kwangu pangeuke kuwa Gaza na dunia ijue matokeo yake.
Hawawezi kupindua nchi hawa kwa akili za kugombana na raia
 
chalii unatukana mapot kindezi kisa uko nyuma ya keyboard?
Mimi siwatukani tunawaambia ukweli mkuu ! Tunachohoji ni kwani wanakufa kijinga jinga kwa kuchomwa visu !! Wakati mwanajeshi yake ni risasi ili tukuzike kwa heshima ! Hivi kweli tunafunika jeneza lako kwa bendera ya taifa na kukupigia risasi sijui 10 kisa ulienda bar ukajitutumua kwa watu ambao bunduki wanaziona kwenye TV tu wakakuchoma kisu 😂😂😂 wajitafakari
 
Vitendo vya namna hii(jeshi kuvamia maeneo ya watu na kuwapiga ovyo Hadi kuua/kujeruhi) kunaweza kukawa sababu kuibuka makundi hatari Kwa Taifa, ikiwemo magaidi. Police na JWTZ ni Vizuri tukawa watanzania Kwa maadiri na haiba. Tumuogope MUNGU,
 
heshimuni jeshi hayo mengine ni porojo tu, hakuna jaji wala hakimu atakayeweza kuwaelewa. Mbona mna akili za kipuuzi km kina Mwabukusi? Nchi hii ina miiko ya kuitii na ni kwa lazima siyo option. Msipeleke uhanarakati mpaka jeshini
Jeshi lipi hilo la kugombania madem
Na mkishalewa mnarukwa na ufaham

Ova
 
GENTAMYCINE sijapendezwa na Kitendo cha Raia Kato kujichukulia Sheria mkononi na Kumchoma Kisu Afande Lt. Col. Muna na ninalikemea sana.

Ila GENTAMYCINE sijapendezwa na Foolish Approach ya Wanajeshi ( hasa MP wa Lugalo ) ya kuamua Kuvamia hovyo Nyumba za Watu, Kuvunja Milango yao, Kupiga hovyo Watu na hasa hasa Kuwajeruhi vibaya sana Wamama ( tena Watu wazima ) ambao wengi Wao hadi Usiku huu GENTAMYCINE naandika huu Uzi Wanauguza Majeraha yao huku Mmoja wapo alikamatwa na MP hao akiwa Dukani Kwake na kuamrishwa Kuingia Garini huku akiliacha Duka likiwa wazi ambapo Wahuni waliingia na Kuiba Pesa zote za Hesabu na Simu zilizokuweko ndani.

Nijuavyo GENTAMYCINE ni kwamba JWTZ wana Kitengo chao cha Mawasiliano, Mahusiano na Elimu kwa Umma ( Kurugenzi ya Habari na Mawasiliano ) hivyo Kiungwana tu wangejitokeza na Kukiri Mateso haya kufanyika kwa Raia wasio na Hatia na kuomba Radhi ila wamechagua Kunyamaza na pengine hata Kufurahia kilichofanyika

Kuna Taarifa ambazo si nzuri nimezipata Jioni hii ( japo naendelea Kuzithibitisha ) kuwa kuna Wanawake Wawili waliokamatwa Baa ya Igole au ya Bombardier nao Kujumuishwa katika Kundi la Watu 74 Waliokamatwa na kupelekwa Kambini Mwenge kupewa Adhabu Kali za Kijeshi zilizojumuisha Kuchapwa na Virungu na Fimbo Ngumu Migongoni, wakirukishwa Vichurachura, wakibebeshwa Mawe na Kubiringitwa Udongoni Wamekufa ( Wamefariki ) leo.

Na kwa leo Mchana, Alasiri na hata Jioni hii GENTAMYCINE nimeshuhudia Raia kadhaa ( tena Wababa na Wamama ) Watu wazima bila kuwasahau Mabinti wakiwa Wamevimba Miguu, Macho, Ugoko na Pua zao na Wakilalamika sana na Kuhoji Kosa lao hasa hadi Kuteswa na Kupigwa kote kule Juzi Usiku kulikuwa ni nini?

GENTAMYCINE niliamua kwenda mbali zaidi kufanya Mahojiano na baadhi ya Wanasheria ( Mawakili ) juu ya Kilichofanyika na kudai kuwa kilikuwa ni Kinyume na Utaratibu wa Sheria za nchi na kwamba Wahusika wakiungana na kwenda Kushtaki hali itakuwa mbaya Kwao ( JWTZ ) hata kama wale MP wa Lugalo WALIOWATESA KINYAMA RAIA kwa kujua kuwa walichokuwa wanakifanya kilikuwa ni kibaya walivalia Kininja ili kuficha Nyuso zao Wasijulikane.

JWTZ nawapenda ila hapa mmebugi.

Hawatoomba na hamna kitu mtafanya. Watanzania wenyewe ndio nyie ambao uwoga na unafki umewajaa
 
we kenge unajidanga

WE KENGE UNAJIDANGANYA PAMOJA NA HAO WAJINGA WENZAKO. ETI WANAISHI NYUMBA HIZI HIZI, MTAZIHAMA HIZO NYUMA NA KURUDI MLIKOTOKA HUKO KWENU KIJIJINI. PELEKENI UPUUZI WENU SEHEMU NYINGINE SIYO JESHINI WE KIMA. RUDIENI TUKIO KM HILO MUONE.
Ndo utuandikie maandishi makubwa kwani sisi vipofu....behave basi wewe mjeda
 
Tunawaacha msahau mtoke majumbani mjichanganye mtaani, heshima lazima irudi kwa Jeshi mnaleta mazoea yakipumbavu.
 
TARATIBU ZA KUMLIKI SILAHA YA KURITHI / SILAHA YA KUNUNUA
1. LAZIMA UJUE KAMA SILAHA YA KUMILIKI AU KURITHI
(a) Kama silaha umenunua kwa mtu hivyo silaha hiyo ni ya kurithi.
(b) Kama silaha ni ya kurithi lazima mwenye silaha aandike barua ambayo ataileta kwa kamanda wa
polisi wilaya (OCD) ambayo itamtambulisha huyo mtu anayetaka kurithishwa silaha hiyo.
2. IKIWA SILAHA NI YA MAREHEMU (KURITHI SILAHA YA MTU ALIYEKUFA)
Lazima kuwepo na barua ambayo wazee,ndugu ama wanakijiji waliokaa wakaona huyo mtu anafaa
kumiliki silaha hiyo ikiambatanisha na majina ya waliojadili.
3. IKIWA SILAHA NI YA KUNUNUA DUKANI (MPYA)
(a) Anayetaka kumiliki atafika kituo cha polisi na kuchukua fomu”N” akiwa na picha nne.
(b) Atajaza fomu nne akionyesha majina yake,aina ya silaha pamoja na sababu ya kumiliki silaha.
(c) Kama silaha ni ya kurithi atakuja na barua ya muhtasari wa kuonyesha kama wajumbe
wamemchagua yeye kuwa mmiliki na ataleta risiti kutoka dukani aliponunua silaha.
(d) Ataonyesha barua ya aliyekuwa mmiliki wa silaha ambayo awali ilihakikiwa ”N” kamanda wa
polisi wilaya(OCD) kama mwenye silaha yuko hai.
(e) Akishajaza fomu”N” ambayo itakuwa fomu ya nne atenda nazo kwenye kamati ya ulinzi na
usalama ya Kijiji na kujadiliwa huko na ataandikiwa muhuktasari.
(f) Ataenda katika kamati ya ulinzi na usalama ngazi ya Kata pia watamjadili na kumpatia
muhuktasari.
(g) Ataenda ngazi ya Tarafa yaani kwenye kamati ya ulinzi na usalama na Katika kamati zote hizo
muhuktasari utaonyesha majina ya wajumbe waliomjadili baada ya hapo ataenda kwa hakimu
wa Mahakama ya mwanzo ambaye atasaini na kugonga muhuri.
(h) Akimaliza hapo viambatanisho vyake vyote vitafungwa kwa pamoja na kupelekwa kwa afisa
usalama wa Taifa wilaya(DSO)ili avihakiki na kutoa makosa yaliyopo kasha kuzirudisha kwa
OCD.
(i) Na OCD atachukua viambatanisho vyake vyote kutoka ngazi mbalimbali za Kijiji,Kata,Tarafa
na Mahakamani atazipeleka katika kikao cha kamati ya ulinzi na usalama ya Wilaya na
kumjadili kama anastahili ama laa kasha watamuita katika kamati hiyo na ma
Silaha za moto kwa kujilinda naona itakuwa solution nzuri , ujinga umezidi sana humu nchini , imagine uko ndani wanakuja mafala wanavamia na kuanza kupiga familia yako na wewe ,mtu from nowhere Tu anakuvaa na kuanza kukushambulia .
 
Hivi huko majumbani mitaa ya kawe na viunga vyake watu hawamiliki bastola au silaha za moto.

Maana kama mtu anakuja anabomoa milango na kutoa vichapo kwa wataokutwa huo ni uonevu, hao wajeda washenzi wanatakiwa wawahishwe kuzimu.
Hawa wapumbavu hawana tofauti na majambazi ,mimi hata kama watakuja kuvamia wamevaa combat hao ni majambazi tu ,au vibaka .
Sheria hairuhusu wao kuvamia raia na kuanza kushambulia ,hata polisi ambao ndio wana leseni ya kudeal na raia huwa hawaruhusiwi kuvamia makazi ya watu / raia wasio na hatia na ambao hawako armed na kuanza kushambulia kwa kuwapiga bila sababu , na hata kuingia kwenye makazi ya raia lazima wapewe ruhusa na serikali ya mtaa na ni lazima waongozane na kiongozi mmoja wapo wa mtaa .
Tanzania hawa wapuuzi jwtz wao wanaona hayo yote ni upuuzi ,
Kama kila mtu akiamua kujichukulia sheria sidhani kama kutakalika nchi hii .
Dawa hawa ni kumiliki chombo cha moto watu kama hao wabapovamia una haki ya kujilinda na kutumia chombo cha moto kuwamwaga ubongo
 
Raia wengi wakiwa na vyombo vya moto kisheria Kwa self defense ,nadhani hao wapuuzi watakuwa na heshima tu ,
Huwezi tu ukatoka huko na bangi zako umevutia kwenye makalio unaanza kupiga watu
We nani ?
 
GENTAMYCINE sijapendezwa na Kitendo cha Raia Kato kujichukulia Sheria mkononi na Kumchoma Kisu Afande Lt. Col. Muna na ninalikemea sana.

Ila GENTAMYCINE sijapendezwa na Foolish Approach ya Wanajeshi ( hasa MP wa Lugalo ) ya kuamua Kuvamia hovyo Nyumba za Watu, Kuvunja Milango yao, Kupiga hovyo Watu na hasa hasa Kuwajeruhi vibaya sana Wamama ( tena Watu wazima ) ambao wengi Wao hadi Usiku huu GENTAMYCINE naandika huu Uzi Wanauguza Majeraha yao huku Mmoja wapo alikamatwa na MP hao akiwa Dukani Kwake na kuamrishwa Kuingia Garini huku akiliacha Duka likiwa wazi ambapo Wahuni waliingia na Kuiba Pesa zote za Hesabu na Simu zilizokuweko ndani.

Nijuavyo GENTAMYCINE ni kwamba JWTZ wana Kitengo chao cha Mawasiliano, Mahusiano na Elimu kwa Umma ( Kurugenzi ya Habari na Mawasiliano ) hivyo Kiungwana tu wangejitokeza na Kukiri Mateso haya kufanyika kwa Raia wasio na Hatia na kuomba Radhi ila wamechagua Kunyamaza na pengine hata Kufurahia kilichofanyika

Kuna Taarifa ambazo si nzuri nimezipata Jioni hii ( japo naendelea Kuzithibitisha ) kuwa kuna Wanawake Wawili waliokamatwa Baa ya Igole au ya Bombardier nao Kujumuishwa katika Kundi la Watu 74 Waliokamatwa na kupelekwa Kambini Mwenge kupewa Adhabu Kali za Kijeshi zilizojumuisha Kuchapwa na Virungu na Fimbo Ngumu Migongoni, wakirukishwa Vichurachura, wakibebeshwa Mawe na Kubiringitwa Udongoni Wamekufa ( Wamefariki ) leo.

Na kwa leo Mchana, Alasiri na hata Jioni hii GENTAMYCINE nimeshuhudia Raia kadhaa ( tena Wababa na Wamama ) Watu wazima bila kuwasahau Mabinti wakiwa Wamevimba Miguu, Macho, Ugoko na Pua zao na Wakilalamika sana na Kuhoji Kosa lao hasa hadi Kuteswa na Kupigwa kote kule Juzi Usiku kulikuwa ni nini?

GENTAMYCINE niliamua kwenda mbali zaidi kufanya Mahojiano na baadhi ya Wanasheria ( Mawakili ) juu ya Kilichofanyika na kudai kuwa kilikuwa ni Kinyume na Utaratibu wa Sheria za nchi na kwamba Wahusika wakiungana na kwenda Kushtaki hali itakuwa mbaya Kwao ( JWTZ ) hata kama wale MP wa Lugalo WALIOWATESA KINYAMA RAIA kwa kujua kuwa walichokuwa wanakifanya kilikuwa ni kibaya walivalia Kininja ili kuficha Nyuso zao Wasijulikane.

JWTZ nawapenda ila hapa mmebugi.

Naona kuna wakati huwa wanajishau kuwa nao ni WATU.Kwamba watastaafu kazi na kurudi ulaiani.pia wanao ndugu huku.Tukianza kampain ya "kuwachukia" wanajeshi wanadhani wataishi vizuri.Ni hao wanajeshi wapuuzi wachache wanaoharibu taswira nzuri ya jeshi letu.Viongzoi wao wafanye marekibisho ya nidhanamu.Kuna utaratibu wa kisayansi wa kushughulikia uharifu.siyo hivyo walivyofanya.Naanza kukumbuka jinsi jeshi lilivyoshughulikia masuala ya korosho kule mtwara
 
Dawa moja kwanza ki kuwapotezea,aina ya dhalau. Hivi,mtu mzima wenye akili timamu,unaweza ukatafuta sifa kwa kumpiga chizi?

Na hawa sasa,hasa MPs!!! Ni aibu ya karne kwa jeshi. Aliyeua mwenzao,si anajulikana? Si wangemtafuta huyo? Badala ya kushirikisha raia,kwa akili nanhekima kujua muuaji yupo wapi,wanataka wajionyeshe kuwa wanajua kupiga na kuadhibu! Ili iweje labda! Je,ina maana mkuu wa kambi hana taarifa? Amili jeshi mkuu,hana taarifa!? Hili si la raia kukemea,bali la viongozi wanaohusika. Hivi,hawajiulizi hiyo picha inakaaje,umevaa nguo za jeshi,unapiga,unaua,unatumia gari la serikali,kuwanyanyasa walonunua hilo gari na hizo nguo,wanaokulisha,af jioni unarudi huko huko! Wamejenga kitu gani kati ya familia za walioteswa na jeshi lenyewe?
Na ukitaka kujua jwtz kumejaa utovu wa nidhamu hao Military police ndio wanatakiwa iuwa custodians na enforcers WA maadili jeshini na kuhakikisha military codes zinafuatwa ,jinsi mwanajeshi anavyotakiwa kubehave mitaani ,sasa wao ndio wanakuwa frontliners kwenye kudisobey hizo codes .
Kila kambi hao Mps ndio huwa wanawaadabisha askari watovu wa nidhamu ,sasa ni ajabu Mps wanaingia kitaa kuanza kupiga raia , wao boundaries zao ni kwenye kambi za jeshi na hawatakiwi kudeal na issues za kitaa unless sasa labda kama kuna special joint operation na police kudeal na serious security threat au nchi itangaze hali ya hatari kama uasi nk .
 
Naona hao wapumbavu wanajifanya wa Israel. Ni wapumbavu coz popote wanapodhuriwa wanakwenda kuitana, wewe kama mwamba kweli na soldier pambana muda ule ule wa tukio hadii iishe sio kutegemea kwenda kuchukua wahuni wa kukusaidia.
Takataka kama hizo zinatakiwa zipelekee sudani kulinda amani ili wajue maana ya vita sio kwenda kupiga wamama kutisha watu mbwa.
 
Hii kuanza kukabana mashati na raia kitaa ni kukosa kazi za kufanya (idleness )
Ndio maana kuna usemi unasema " IDLE'S MIND IS THE DEVIL'S WORKSHOP "
"Akili ya mtu ambaye hajishughulishi na chochote ni karakana ya ibilisi "
Mambo maovu ndio yanakuwa yanatawala akili za hao wajinga , kama yanajiona yana ubavu wangekuwa wanayapeleka kwenye peace keeping missions huko kwa watemi Haiti , Elsalvador ,Guatemala , Congo ,Somalia ,Sudan nk Kwa magangwe walioshindikana huko wakaonyeshe huo undava wao .
Waliyapeleka kule kwa M23 miaka ile yakawa yanalambishwa mchanga tu kwa silaha za Jadi kama mishale na magobole ya kuchonga ,kila siku majeneza tu wakawa wanaleta mizoga Bongo .
Pumbavu sana
 
Naona hao wapumbavu wanajifanya wa Israel. Ni wapumbavu coz popote wanapodhuriwa wanakwenda kuitana, wewe kama mwamba kweli na soldier pambana muda ule ule wa tukio hadii iishe sio kutegemea kwenda kuchukua wahuni wa kukusaidia.
Takataka kama hizo zinatakiwa zipelekee sudani kulinda amani ili wajue maana ya vita sio kwenda kupiga wamama kutisha watu mbwa.
Wanaishia kuvamia makazi ya watu wasio na silaha wala mafunzo ya kujilinda kwa mapigano na kupiga wanawake, wazee na watoto kama mbwa , aisee
 
Back
Top Bottom