Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
- Thread starter
- #21
Nafanya marejeo tuu.
Pasco
Pasco
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili swali bado ni validWanabodi,
Kama wizi huu ni sawa na ule wizi wa EPA, then, Watuhumiwa wa Escrow wasionewe!, kama watu walikwapua mabilioni yale ya EPA na wakasamehewa kwa kutakiwa kurudisha tuu, kwa nini na watuhumiwa wa Escrow wasitakiwa kurudisha tuu yaishe?!.
Kwa nini Bunge na Serikali yetu ifanye maamuzi tofauti kwa like scenario?!.
What a double Standard?!.
Paskali
Wanabodi,
Azimio la Bunge kuhusu Escrow, limetolewa leo, na mjadala wa Escrow, umefungwa rasmi, wakati mjadala huu unaanza, nilisema humu, Hata ikithibitika Fedha za Escrow ni za Wizi, Nawahakikishia Hakuna Atakayewajibika!. Jee leo baada ya mjadala kumalizika, vipi kuna yeyote aliyewajibika?!.
Kama kashfa ya Escrow ni kama Richmond, then je Waziri Mkuu Mstaafu, Mhe. Edward Lowassa alionewa?!.
Paskali