Wanabodi,
Kama wizi huu ni sawa na ule wizi wa EPA, then, Watuhumiwa wa Escrow wasionewe!, kama watu walikwapua mabilioni yale ya EPA na wakasamehewa kwa kutakiwa kurudisha tuu, kwa nini na watuhumiwa wa Escrow wasitakiwa kurudisha tuu yaishe?!.
Kwa nini Bunge na Serikali yetu ifanye maamuzi tofauti kwa like scenario?!.
What a double Standard?!.
Paskali