Kama Kashfa Escrow ni "Richmond", Then, Lowassa Alionewa?, Kama Ni "EPA!" Then, Wahusika Wasionewe!

Hili swali bado ni valid
P.
 

Kiukweli kabisa kwenye issue ya kashfa ya Richmond, Edward Lowassa alionewa, sasa ameondoka, kama alisamehe, then hata akiondoka kuna usalama, lakini kama hakusamehe hivyo kuondoka na kinyongo, then wahusika wakuu walio m fix Lowassa kwenye kashfa ya Richmond, wakae mguu sawa kwa kumuomba msamaha hata kifoni kabla mwili wake haujashushwa 6ft under, ili kuizuia karma ya kinyongo chake isiwatafune!.

Naendelea na My Tribute to this fallen hero, Mwamba wa Kaskazini, kwa kujikumbusha baadhi ya mabandiko yangu kumhusu shujaa huyu mpaka siku atakapo pumzishwa kwenye makao yake ya milele, let's celebrate the life and the times of Edward Lowassa.

RIP Shujaa Laigwanani Comred Edward Ngoyai Ole Lowassa,
Umepigana vita vilivyo vitakatifu, imani umeilinda.
Bwana alileta
Bwana ametwaa,
Jina Lake Lihimidiwe!.

Paskali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…