Kama katiba ya kenya iliandaliwa na wakenya basi wana akili kubwa

kimarabucha

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2017
Posts
791
Reaction score
621
Leo ndio nimeamini kuwa WAKENYA wana akili kubwa katika bara zima la Afrika.Katiba ya Kenya ni Kati ya Katiba bora katika Afrika.Katiba inayovipi mamlaka mihimili mingine kama Bunge na Mahakama.Katiba inayompa mipaka Rais Wa Nchi.Wakenya wana akili kubwa Kwa kutengeneza Katiba bora ambayo Leo tumeishuhudia ikiheshimiwa na Mahakama na Serikali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo watanzania tuna akili ndogo?
sawa tu!
 
Hapana mkuu, ni Ctrl C Ctrl V all the way from US
 
hehe...jamaa huwa una mambo..ama ni sababu umeona Kenya tuna Senator na Governor kama vile ilivyo Marekani?....haya mbona nyie msi copy paste katiba pia kama sisi...nyambaf mkubwa

Sisi tulitaka copy and paste kutoka kwenu mkuu. Kilichotokea unakijua mwenyewe. Ni aibu.

Katiba haitajwi tena kama jambo la kupewa kipaumbele.
 
wakenya wanajua kutofautisha masula nyeti ya kitaifa na masuala ya kisiasa,ingawa wanaweza kufanya tukio la kisiasa ila katika sura ya utaifa,mfano uchaguzi wa mwaka huu jamaa walijitoa sana,pia suala la katiba,walisahau tofauti zao za kikabila,kisiasa,kiitikadi nk wakasimama kama wakenya wakapata katiba yao,sisi hapa kwetu U CCM na U CHADEMA ukatuharibia katiba yetu licha ya kuwa katiba ni suala linalohusu wananchi wote,tukaishia kupoteza mabilioni tuu mpaka leo na katiba sijui kama itakuja patikana tena,tunaogopa tu suala la kumuondolea kinga raisi mpaka tunaharibu na katiba yote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…