Kama Kesi ya MADELEKA itaanza upya; mtuhumiwa wa pili ambaye ni mke wake kubaki na hadhi ya kukiri kosa haitapelekea MADELEKA kupatikana na hatia?

Kama Kesi ya MADELEKA itaanza upya; mtuhumiwa wa pili ambaye ni mke wake kubaki na hadhi ya kukiri kosa haitapelekea MADELEKA kupatikana na hatia?

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Hukumu ya Mahakama iliyotolewa dhidi ya MADELEKA imemwacha pembeni mke wa mtuhumiwa ambaye walituhumiwa kutenda makosa wakiwa pamoja; kwa tafsiri nyingine ni kwamba mke amebaki kukubali plea bargaining lakini mme amekataa utaratibu wa plea bargaining;

Kwa kuwa mke hadi sasa kwa hukumu au maamuzi ya awali anakubaliana na ukweli kwamba alitenda kosa la Uhujumu uchumi; je nikatika mazingira gani mwendelezo wa kesi ya sasa hautamhusisha mke aidha kama shahidi au mtuhumiwa?

Wataalamu wa sheria tusaidieni tupate mwanga; charge sheet zitabaki na mtuhumiwa mmoja? endapo yapo makosa yaliyotendwa jointly na mke alishahukumiwa je MADELEKA ataonekanaje kwamba hakutenda? Kama hakutenda na maelezo ya kosa yanaonyesha walitenda na mke wake na mke anakiri kwamba tulitenda pamoja maamuzi yatazingatia kukiri kwa mke kama sehemu ya ushahidi kwa Jamhuri?

Kwako Kibatala na Jebra
 
Hukumu ya Mahakama iliyotolewa dhidi ya MADELEKA imemwacha pembeni mke wa mtuhumiwa ambaye walituhumiwa kutenda makosa wakiwa pamoja; kwa tafsiri nyingine ni kwamba mke amebaki kukubali plea bargaining lakini mme amekataa utaratibu wa plea bargaining;

Kwa kuwa mke hadi sasa kwa hukumu au maamuzi ya awali anakubaliana na ukweli kwamba alitenda kosa la Uhujumu uchumi; je nikatika mazingira gani mwendelezo wa kesi ya sasa hautamhusisha mke aidha kama shahidi au mtuhumiwa?

Wataalamu wa sheria tusaidieni tupate mwanga; charge sheet zitabaki na mtuhumiwa mmoja? endapo yapo makosa yaliyotendwa jointly na mke alishahukumiwa je MADELEKA ataonekanaje kwamba hakutenda? Kama hakutenda na maelezo ya kosa yanaonyesha walitenda na mke wake na mke anakiri kwamba tulitenda pamoja maamuzi yatazingatia kukiri kwa mke kama sehemu ya ushahidi kwa Jamhuri?

Kwako Kibatala na Jebra
Saa 100 anaweza kumrudishia mbowe ile kesi yake
 
Hukumu ya Mahakama iliyotolewa dhidi ya MADELEKA imemwacha pembeni mke wa mtuhumiwa ambaye walituhumiwa kutenda makosa wakiwa pamoja; kwa tafsiri nyingine ni kwamba mke amebaki kukubali plea bargaining lakini mme amekataa utaratibu wa plea bargaining;

Kwa kuwa mke hadi sasa kwa hukumu au maamuzi ya awali anakubaliana na ukweli kwamba alitenda kosa la Uhujumu uchumi; je nikatika mazingira gani mwendelezo wa kesi ya sasa hautamhusisha mke aidha kama shahidi au mtuhumiwa?

Wataalamu wa sheria tusaidieni tupate mwanga; charge sheet zitabaki na mtuhumiwa mmoja? endapo yapo makosa yaliyotendwa jointly na mke alishahukumiwa je MADELEKA ataonekanaje kwamba hakutenda? Kama hakutenda na maelezo ya kosa yanaonyesha walitenda na mke wake na mke anakiri kwamba tulitenda pamoja maamuzi yatazingatia kukiri kwa mke kama sehemu ya ushahidi kwa Jamhuri?

Kwako Kibatala na Jebra
Plea bargain ni aina ya Makubaliano ya pande mbili. Hapq ni DPP upande mmoja na Madeleka na mkewe kwa upande mwingine. Katika Makubaliano hayo Upande wa Madeleka haukutimiza kile ulichoahidi. Kiufupi hakuna namna ya kumtenganisha mkewe hapo. Unless mke athibitishe walichoahidi kutenda na mumewe walikutenda, na huuu ndio msingi wa plea bargain.

Taarifa zilizopo ni kuwa hawakutimiza ahadi zao Bali waliamua kwenda mahakamani kipinga uhalali wa plea bargain waliyosaini, kwa mazingira hayo Sasa twende kwenye Kesi....
 
Back
Top Bottom