Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 1,096
- 4,948
Unapokwenda kwenye negotiation lazima ukubali baadhi ya Haki zako kulingana na terms za majadiliano.
Serikali chini ya CCM imeridhia na imethibitika hivyo kwamba mambo yafuatayo yakifanyika kama chadema walivyotaka basi nchi itakuwa tulivu;
1. Ruzuku ilikuwa Haki ya CHADEMA kulingana na wingi wa Kura za Urais lakini walikuwa awapewi kutokana na msimamo wao lakini pia vision ya awamu iliyopita ( siwezi kulisha then uingie barabarani kunikosoa)
2. Kesi zote za kisiasa zifutwe na tuanze maisha mapya ; mahakama kutokana na kujichimbia serikalini imefuta kesi zote ikiwemo za ugaidi.
3. Mikutano ya adhara nayo imeanza
4. Mashirikiano ya viongozi wa kisiasa pia yameanza Kwa Mhe. Rais kualikwa kushiriki maazimisho ya wanawake chadema.
Kwa upande wa pili; wapo wanawake wanateseka nafsi si Kwa Sababu walitaka KUJIUNGA na CCM Bali walikamatwa wakapelekwa kwenda kuapa, yamkini wangekataa Leo wasingekuwa kwenye siha njema.
Nani ajuaye. Mbowe na viongozi wengine wa chadema wanaelewa kabisa kwamba akina Halima waliburuzwa na mfumo, kama ambavyo Lisu na Lema waliokimbia nchi basi hawa wanawake kimbilio lao lilikuwa kujisalimisha kwenye chama cha majanga wapate hifadhi.
Kama chadema walifurahia kupata mambo manne hapo juu lazima walikubali pia kuachana na Ubunge WA COVID 19 na kwamba vyoyvyote itakavyoenekana inafaa basi wasiendelee kuwadhalilisha wanawake hawa mahakamani
Tunakumbuka kesi ya Mbowe, ilivyoonekana inasumbua Sana serikali iliacha kusikilizwa ikafitwa; kuhojiwa akina Mdee nikuendelea kudhalilisha mahakama iliyotia sahihi fomu zao kinyume cha sheria ikiwemo fomu ya maabusu Nusrati, Bunge lililowaapisha Kwa nyaraka za kugushi na serikali iliyosimama wakaanza kulipwa stahiki.
Chadema kubalini yaishe kama ambavyo ccm wamekubali yaishe, tuanze ukurasa mpya Kwa pamoja.
Serikali chini ya CCM imeridhia na imethibitika hivyo kwamba mambo yafuatayo yakifanyika kama chadema walivyotaka basi nchi itakuwa tulivu;
1. Ruzuku ilikuwa Haki ya CHADEMA kulingana na wingi wa Kura za Urais lakini walikuwa awapewi kutokana na msimamo wao lakini pia vision ya awamu iliyopita ( siwezi kulisha then uingie barabarani kunikosoa)
2. Kesi zote za kisiasa zifutwe na tuanze maisha mapya ; mahakama kutokana na kujichimbia serikalini imefuta kesi zote ikiwemo za ugaidi.
3. Mikutano ya adhara nayo imeanza
4. Mashirikiano ya viongozi wa kisiasa pia yameanza Kwa Mhe. Rais kualikwa kushiriki maazimisho ya wanawake chadema.
Kwa upande wa pili; wapo wanawake wanateseka nafsi si Kwa Sababu walitaka KUJIUNGA na CCM Bali walikamatwa wakapelekwa kwenda kuapa, yamkini wangekataa Leo wasingekuwa kwenye siha njema.
Nani ajuaye. Mbowe na viongozi wengine wa chadema wanaelewa kabisa kwamba akina Halima waliburuzwa na mfumo, kama ambavyo Lisu na Lema waliokimbia nchi basi hawa wanawake kimbilio lao lilikuwa kujisalimisha kwenye chama cha majanga wapate hifadhi.
Kama chadema walifurahia kupata mambo manne hapo juu lazima walikubali pia kuachana na Ubunge WA COVID 19 na kwamba vyoyvyote itakavyoenekana inafaa basi wasiendelee kuwadhalilisha wanawake hawa mahakamani
Tunakumbuka kesi ya Mbowe, ilivyoonekana inasumbua Sana serikali iliacha kusikilizwa ikafitwa; kuhojiwa akina Mdee nikuendelea kudhalilisha mahakama iliyotia sahihi fomu zao kinyume cha sheria ikiwemo fomu ya maabusu Nusrati, Bunge lililowaapisha Kwa nyaraka za kugushi na serikali iliyosimama wakaanza kulipwa stahiki.
Chadema kubalini yaishe kama ambavyo ccm wamekubali yaishe, tuanze ukurasa mpya Kwa pamoja.