Kama kijana hakikisha unakuwa karibu na Tajiri kwa vyovyote vile.

Kama kijana hakikisha unakuwa karibu na Tajiri kwa vyovyote vile.

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
23,928
Reaction score
63,499
Kama kijana Hakikisha unakuwa karibu na Tajiri .

Tajiri watu muhimu Sana hawana baya .

Na ukiwa na urafiki na Tajiri usiombe. Pesa omba connection tu . Na msalimie kwa maneno mafupi kwa kuanza na nomino pia tumia lugha ya mkato na sio vifupisho.

Tajiri anapenda kujulikana uwepo wake hakikisha unamtambulisha kwa Capital letter herufi kubwa.
 
Unawafundisha hawa vijana wa ovyo , wazidi kupakwa mgando.
 
Back
Top Bottom