Kama kijana una kipi cha kujivunia kutoka kwa wazazi wako?

Kama kijana una kipi cha kujivunia kutoka kwa wazazi wako?

kajamaa kadogo

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2018
Posts
2,707
Reaction score
6,437
Kadri ninavyoendelea kukua ndiyo naelewa kwanini watu wanaogopa kutaja umri wao halisi. Muda ni kitu cha thamani sana na pia kama kijana ukishajua unachokitaka hapa dunia kujishusha ni mbinu wala sio ujinga

Kwenye mada kama kijana una kipi cha kujivunia kutoka kwa wazazi wako


Nawatoa nyongo toeni nyongo zenu hapa
 
Nigga mmesha Anza kuchanganya bangi na mavi ehh?
1000018341.gif
 
Back
Top Bottom