niachiemimi
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 3,606
- 5,295
Kuna kiumbe mmoja hivi jike kuzaa kwake ni kifo maana anapasuka vichanga vinatoka huku akigeuka maiti. Ingekufaa sana hii!Kadri ninavyoendelea kukua ndiyo naelewa kwanini watu wanaogopa kutaja umri wao halisi. Muda ni kitu cha thamani sana
na pia kama kijana ukishajua unachokitaka hapa dunia kujishusha ni mbinu wala sio ujinga
Kwenye mada kama kijana una kipi cha kujivunia kutoka kwa wazazi wako
Nawatoa nyongo toeni nyongo zenu hapa
maji ganiyale maji yalikuwa yamoto sana ndio shida
mambo yake tumu achie mwenyewe.
💐mambo yake tumu achie mwenyewe.
inasikitisha sana kivipi mkuu
Kuna kiumbe mmoja hivi jike kuzaa kwake ni kifo maana anapasuka vichanga vinatoka huku akigeuka maiti. Ingekufaa sana hii!
Cannabis hii bangi mliyo muuzia huyu dogo, na nyinyi mna vuta hiyo hiyo?.
maana nahisi hii kaweka na mavi aisee.
View attachment 3239351
Bangi haihusiki hapa !Cannabis hii bangi mliyo muuzia huyu dogo, na nyinyi mna vuta hiyo hiyo?.
maana nahisi hii kaweka na mavi aisee.
View attachment 3239351
Luka mwashambwa baada ya kupewa maharage na chapati tatu na kada mmoja wa sisiemu.
Ko kavuta mavi ehh?Bangi haihusiki hapa !