Hebu tutafute maana ya hilo neno kwenye kamusi kwa pamojaMungu alie zungumzwa huko ni kiumbe chenye igo sana , kwani kuzini ni nini mkuu ?
Tuishie tu apo[emoji120]Hebu tutafute maana ya hilo neno kwenye kamusi kwa pamoja
{ وَمِنَ ٱلنَّاسِ مَن يُجَٰدِلُ فِي ٱللَّهِ بِغَيۡرِ عِلۡمٖ وَيَتَّبِعُ كُلَّ شَيۡطَٰنٖ مَّرِيدٖ }Kwa hiyo akujua mwanadamu atakuja kukoseshwa na shetani alie muumba yeye ,kma alijua kwanini asingeepuka huo mtego toka mwanzo , hauoni kuwa aliumba ili wengne waende motoni makusudi? na kma Mungu akuumba dhambi kwa nini tuseme aliumba kila kitu ?
Hii mimi si aina ya watu wanaotishika na mambo ya hadithi za moto , bora hiyo mambo utafute wanyonge wengine uwaambie ila sio mimi kamwe.{ وَمِنَ ٱلنَّاسِ مَن يُجَٰدِلُ فِي ٱللَّهِ بِغَيۡرِ عِلۡمٖ وَيَتَّبِعُ كُلَّ شَيۡطَٰنٖ مَّرِيدٖ }
[Surah Al-Ḥajj: 3]:
Na miongoni mwa watu wapo wanao bishana juu ya Mwenyezi Mungu bila ya ilimu, na wanamfuata kila shet'ani aliye asi.
{ كُتِبَ عَلَيۡهِ أَنَّهُۥ مَن تَوَلَّاهُ فَأَنَّهُۥ يُضِلُّهُۥ وَيَهۡدِيهِ إِلَىٰ عَذَابِ ٱلسَّعِيرِ }
[Surah Al-Ḥajj: 4]
Ameandikiwa kwamba anaye mfanya kuwa rafiki, basi huyo hakika atampoteza na atamwongoza kwenye adhabu ya Moto mkali.
Kabisa lo
Huko kutubu dhambi,pia ni mpango wa Mungu.Waislamu na Wakristu uhubiri kwamba kila jambo analolifanya mwanadamu na kila jambo analo fanyiwa mwanadamu ni mipango ya Mungu.
Kama hoja hii ndio msimamo wa mafundisho ya kikristo na kiislamu then kwanini wakristu na waislamu HUTUBU DHAMBI ZAO kwa Mungu pindi watendapo dhambi?
Kwa sababu kama kila jambo analo lifanya mwanadamu ni mpango wa Mungu maana yake ni kwamba hata hiyo dhambi uliyo ifanya ni mpango wa Mungu, kwamba Mungu ndio ameamua wewe ufanye hiyo dhambi.. unapo tubu dhambi hiyo maana yake ni kwamba unakosoa mipango ya Mungu kwenye maisha y'ako.
Ni mwendo wa kupigana miti tu!Kwahiyo unashaurije
Huu uumbaji ni kama kompyuta ikishatoka huko inakuwa installed na driving softwares full ikija huku inajiendesha yenyewe. Ukitaka uyafurahie haya maisha jichagulie mambo ambayo kwako ni baya usiyafanye na mazuri uyafanye, Mungu anakuja pale ambapo umeshindwa kufanya Kila kitu lakini ukitaka Kila kitu afanye yeye unakufaa na misimamo yakoWaislamu na Wakristu uhubiri kwamba kila jambo analolifanya mwanadamu na kila jambo analo fanyiwa mwanadamu ni mipango ya Mungu.
Kama hoja hii ndio msimamo wa mafundisho ya kikristo na kiislamu then kwanini wakristu na waislamu HUTUBU DHAMBI ZAO kwa Mungu pindi watendapo dhambi?
Kwa sababu kama kila jambo analo lifanya mwanadamu ni mpango wa Mungu maana yake ni kwamba hata hiyo dhambi uliyo ifanya ni mpango wa Mungu, kwamba Mungu ndio ameamua wewe ufanye hiyo dhambi.. unapo tubu dhambi hiyo maana yake ni kwamba unakosoa mipango ya Mungu kwenye maisha y'ako.