Kama kilichoripotiwa na CAG ni Kweli, basi Magufuli alikuwa sahihi mara 3...

Inasemekana Mama eti alifanya several attempts za kutaka kuresign..ilaa eti alizuiwaa... 'inasemekana'.
Upuuzi mtupu kuamini hivyo. She was sleeping with the devil full stop.
Huyu Mama ni Vulture, alikuwa very Patient, kapata kaanza mipasho.

Tungekuwa na bunge ingebidi ipigwe kura ya "No confedence" kwa rais na waziri mkuu, uchaguzi ufanyike upya.
Kama alishuhudia yote haya, na anayajua, nani anakuwa na imani naye?
 

Huyu mzee msukuma kapagawa baada ya kuona Marehemu ambaye alimuona ni Mungu kwanza amekufa, pili report ya CAG imebainisha alikuwa ni fisadi aliyekubuhu.
 
Elimu bure ni sera ya zamani sana ,tangu uchaguzi wa mwaka 2000 ,wapinzani walishalisema hili. Hii haiwezi kuwa hoja kwa sasa. Tafuteni namna ya kumtetea mtu wenu.
 
Uzalendo umekuwa kichaka cha Wizi! Watu wamevishwa koti la unyonge watu wanapiga pesa tu.
 
Huyu mzee msukuma kapagawa baada ya kuona Marehemu ambaye alimuona ni Mungu kwanza amekufa, pili report ya CAG imebainisha alikuwa ni fisadi aliyekubuhu.
Hawa watu wanapotosha sana. Na sijui kwanini awamu ya JPM report za CAG zilikuwa nongwa lakini ni report hizi hizi ambazo wanazitumia kurefer ufisadi wa kipindi cha kikwete. Hawa watu ni wajinga wa kiwango cha SGR
 
Isee kilaa mtu amebaki kinywa wazi..

.ndio maana mama alisema asome report ili waanike upumbavu

Eti hamna shule kongwe zilizorekebishwa..ilihali shule zote zimerekebishwa

Jamaa kajenga ukuta wa aina yake mererani...ila tunaambiwa hauna maana

Jamaa kajenga stand. Ila tunaambiwa inaleta foleni Moro

Kwamba usanifu wa Bwawa la Nyerere ni wa zamani

Siasa ni ushetani!..nimeamini usimuamini hata ndugu yako/mzazi.
 
Yah right. Kwa hiyo huo ufisadi wote ni wa kutunga siyo.

Tukiona Assad akienguliwa kwa akili tu ya kuexpose matumizi mbaya ya pesa za umma.

Kwa jinsi Assad alivyoondoka na haya madudu tuliyoyasikia jana naamini kulikuwa na ufisadi mkubwa tu.
 
Huyu jamaa hata sijui kaandika nini?na ninamashaka jamii forum bado kuna kundi kubwa halijielewi yaani lipolipo tuu...in Bwege's voice.Ripoti imesomwa na CAG ambayo imeelezea yote yalifanyika katika taasisi za umma wakati rais akiwa JPM.

Sasa kwa jinsi ripoti unavyoiona maana yake ni kwamba kipindi cha mwendazake Uhuru uliminywa,na ndiyo maana ukweli hukupatikana na sasa ndipo ule usemi wa mficha maradhi kifo humuumbua.Kipindi cha awamu ya nne uhuru wa kujieleza na vyombo vya habar ulikuwa mkubwa kwa watanzania,na ndipo kashfa nyingi za ubadhilifu zikaibuliwa na bunge kwa sababu lilikuwa na upinzani angalau majadiliano yalikuwa yamoto.

Kiufupi utawala wa jpm unamadudu mengi hayo unayoyasikia ni rasharasha tuu kuna mengi mabaya utayasikia.Mtu mwenyenia njema asingeminya upinzani bungeni,Uhuru wa habari,ukosoaji wa raia mmoja moja kumbuka hizi ni dalili za kujilinda kwa mwendazake na serikali yake ili waweze kuvuna mabilioni ya watanzania (wanyonge) kama walivyotupachika hilo jina.
 
utawala wa walio wengi maana yake kama wengi ni wajinga unatakiwa uangalie matakwa ya hao wajinga walio wengi
Hebu nieleze kitu gani cha maana alichowafanyia hao wajinga?

Sana sana alifanikiwa kuwadanganya kuwa adui yao ni watu wa middle- class pamoja na wazungu. Kwa kuwa ni wajinga wakampigia makofi.

Amewaacha katika shimo refu la umaskini, hawana hili wala lile. Wengi wao wanatuomba misaada kila siku. Wakienda hata huko Hospital hawapati dawa.
 
Elimu bure ni sera ya zamani sana ,tangu uchaguzi wa mwaka 2000 ,wapinzani walishalisema hili. Hii haiwezi kuwa hoja kwa sasa. Tafuteni namna ya kumtetea mtu wenu.
Hapa hatetewi mtu, será na utekelezaji ni vitu viwili tofauti, nchi ni ya kwetu sote. Mazuri yake tuna beba na kuendelea nayo na mabaya yake yanatupwa kwenye kaburi lá sahau na anaenda nayo mwenyewe.

Kwa hiyo turudi nyuma kwa ambayo yanaweza kutufaa? Kitabu kipya cha mama Samia pia kutakuwa na mazuri na mabaya yake.

Tutachukua mazuri mabaya tuna mwachia mwenyewe.
 
Noted
 
Nadhani Mwanakijiji utakua umesahau au hujafanya utafiti wa kutosha, report ya CAG KIchere haina tofauti na report za nyuma za CAG Prof Assad. Prof Assad alikua analeta report nzito zenye maswali magumu yasiyojibika.
mwendazake akaona ni threat akamweka pembeni
 
Hawatakuelewa, watu wako bize kummezea mate mlegeza macho kwa udini. Wanapiga nae pambio mnafiki namba moja wa taifa, limbukeni wa madaraka mkojoa kwa kukaa yule. Bullshit.

Chuki binafsi hazifai hata ukitukana matusi gani haikusaidii.
 
Ajenda ya Magufuli ambayo haitakufa ni ipi?

Amandla...
 
wazee wa ku twist maneno washajiwekea mawazo yao kichwani kua kwa hoja walizonazo ni ngumu kumshawishi mtu kua jpm alikua fair na ndio maana watetezi wake wanapindisha maneno
 
Wizi mtupu alifanya na wapambe wake
 
Wapigaji wamerudi kwa kasi ili mambo yao yaende kazi ni moja kuua legacy yote ya mwendazake alafu waanze kupiga kama ilivyoada
Acha UONGO wewe, inawezekana wewe ni mmoja wa wanufaika wa JIWE.

JAMAA NILIKUWA SIMKUBALI HATA KIDOGO, WANANCHI WANA HALI NGUMU HUKU WATEULE WAKE WAKILA BATA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…