Kama kilichoripotiwa na CAG ni Kweli, basi Magufuli alikuwa sahihi mara 3...

wanajinafasi kwa unafki ila nafsi zinawasuta

Nafurahi kuona baadhi ya wadau wanaendelea kumlamba miguu
Yani kun watu wanapendwa kuitwa wanyonge. Halafu kuhusu ATCL kutengenza faida hata mendazake akiwa hai jmbo hili liliwahi kutajwa bungeni sema likazimwa ni vile tuna kumbukumbu fupi.
Yani laiti JK angekuwa kama Magu, angeondoka madarakani akiwa msafi maana hakuna cha richmond wala sijui ufidadi gani ambao ungekaa ukajulikana. Kosa ni ile kuturuhusu kuyajua kitu ambacho mwenda zake hakuwa anataka.
 
Kuna watu wakiona huu uzi wanaweza wakasema nimeandika mimi.

Nimekuwa na mjadala kama huu kwenye makundi ya wasapu zidi ya matatu.

Ulicho kiandika hapa ndicho hicho hicho nilichowaambia.

Mwasho nikamalizia kwa kusema?

Ni swala la mda tu tunawajua wajanja wote.
 
Upinzani uko kwenye damu yangu;

babu nakumbuka 2015 nilikuonya kuhusu njia uliyochagua ya kushabikia upande wa utawala kisa tu mtu waliyemsimamisha kugombea urais ni wa kanda moja na wewe.

hiki kilichotangazwa na CAG ni kama kimekuvua nguo hadharani, umepigwa na bumbuwazi. pole sana babu. hayo ndio matokeo ya ushabiki maandazi.

 
Ashazimwa huyo mtu wenu.
Inabidi MATAGA mkubali kuwa mliyemfanananisha na yesu kesha kufa.
Hata wewe utakufa tu ni swala la muda tuuuu.Lakini legacy ya Magufuli itaanza ku shine muda si mrefu tunasubiri haya matamko yaliyotolewa juzi yabadilishwe kuwa sheria ndipo mtaamini kuwa Magu alikuwa geneus.Watu walishajaribu kuharibu legacy ya nyerere ikawashinda. Kuharibu legacy ya Magufuli labda upige mabomu na kuiteketeza miradi iliyokwisha fanywa. Tena msipoimalizia ndiyo mtapata maswali magumu kuliko.
 
Hakuna mtu mwenye akili atawaamini hao waramba miguu wa Jiwe
 
Kuna point ya kumsafisha Magu ambayo hujaiona Mkuu.

Anyway, kazi ya fasihi siyo lazima wote tuelewe sawa.
Nimeiona sana, pamoja na hayo nilioandika hapo. Sijaweka tu hizo key words makusudi, nilitaka muuliza swali akamsome upya mwanakijiji huenda ataona hicho tulichokiona wewe na mimi
 
Anapotosha makusudi yani anageuza maneno huenda ana report yake.
Hakuna sehemu hata moja report inaposema hiyo miradi haipo. Hawa ni wazee wa propaganda anajua anachofanya na wajinga wengine washajaa. Ni awamu ya JPM tu ambapo report za CAG uwa zinapingwa kuwa zinataka kumchafua.😂😂
 
Hapa issue ni ufisadi wa kutisha chini ya magufuli
 
CAG atuletee na ile report nyingine ambayo ingekabidhiwa Mwendazake kama angekuwa Hai. Kwa kufanya hivyo itatupa mwanga ni kwa jinsi gani huwa tunafichwa ukweli.

Ni wazi kabisa kuwa hii report isingetolewa kama Mwendazake angekuwepo.
 
Naona kuna nafasi ya kumsafisha aliyopo na kutusahahulisha mwendazake. anyway ngoja wapige mahesabu yao then tutakaa sit moja tuu
 
CAG katoa hoja kisiasa hilo liko wazi. Shida ya watanzania ni wafuata upepo, NDUNGAI kawaingiza chaka kwa kuwaletea kahoja ka bandari ya bagamoyo ili muanze kumsifu, huku mkisahau kwa report hiyohiyo ya CAG imetoa matumizi yenye mashaka kwenye ofisi ya speaker.Leo mnasifia speaker mmesahau pia kuwa kuna irregularities ofisi ya spika.Endeleeni na political audit report, ila kumchafua Magufuli mtafanikiwa kwa muda mfupi usiozidi miezi sita baada ya hapo mtaimba legacies za magufuli
 
Legacy ipi Hiyo? Msahau tu
 
Tutadeal nao majambazi wakubwa I am so frustrated to the extent of no return .nilisupport hili chama Kwa Yale aliyotufanyia Ila Kwa hapa tutawafagilia mbali.
 
Legacy ya kuwa kiongozi wa kwanza kuwachia ufisadi wa hatari kushamili nchini?
 
Unawajadili upinzani kwa chuki kubwa.. pole sana

Yule aliyetaka kuua upinzani mlimuona yuko sawa.

Wewe leo unawafundisha Upinzani wafanye nini? Kwani wamechelewa?
 
Mzee Mwanakijiji bila shaka unafahamu kuwa serikali inaendeshwa kwa mujibu wa katiba na sheria. Aidha kunatakiwa kuwe na uwazi katika matumizi ya rasilimali za nchi. Kinyume chake ni uhaini na ufisadi.

Kilichoonyeshwa na CAG ni kuwa utawala wa sheria katika nchi hii ulipotea au ulianza kupotea wakati wa utawala wa Magufuli. Vitu vingi aliamua bila kufuata sheria hata kama vilikuwa vizuri. Matokeo yake ni ubadhilifu na ufisadi. Magufuli hakufanya vitu kwa uwazi ili watu wengine wafahamu lengo na matunda ya baadaye bali aliamini kuwa peke yake anaweza na kufanikiwa. Sasa baada ya kifo chake mengi aliyoyaanzisha yanaweza kufa kwa sababu wengi hawayafahamu na hawayakubali. Magufuli alitembea na fedha za umma mfukoni mwake badala ya mipango ya serikali na ndiyo sababu alikuwa anaweza kuamua kuanzisha mradi akiwa anasafiri barabarani. Hata kama mradi ni mzuri lakini kwa jicho la CAG hayo ni matumizi mabaya ya madaraka na fedha za umma.

Madudu na athari za utawala wa Magufuli utaliumiza Taifa kwa muda mrefu ujao!
 
Kubalinini matokeo kuwa sasa hamna tena sehemu ya kwenda kuuza umbeya na unafiki.

Mama yetu Samia hana muda na wachawi kama nyinyi MATAGA.
 
C.A. G mpuuzi Sana,anatumia njia ya kuchafua wengine ili abakizwe kwenye system.
Huyu ni wa kufukuza tu kwanza amekalia nafasi ya prof.Asad
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…