Kama kilichoripotiwa na CAG ni Kweli, basi Magufuli alikuwa sahihi mara 3...



Halafu Leo anasema yeye mpinzani
Juzi kasema serikali iko salama na Samia
Leo anatuambia kuna kitu kinaandaliwa..

Muuza maneno at his best
 
Watu wanashangaa ATCL kupata hasara wakati waliambiwa shirika linaingiza faida.

Tena linatoa hadi gawio.. Wewe ni mgeni?
 
Subiri kidogo, miradi yote tunayoiona itasimama, ndipo utajua tofauti kati ukweli na uongo. Kati ya Rais na mwimba taarabu.

Awamu zote za marais waislam nchi hii huyumba sana. Subiri tu ujionee.
Kinachoongelewa hapa ni UFISADI na wala sio kuisha au kutoisha kwa miradi.

Hata wakati wa JK kulikuwa na miradi mingi na mikubwa ambayo ilikamilika na bado watu tulikemea ufisadi.

Tunachojiuliza leo ni UFISADI uliotamalaki enzi za mtukufu Magufuli na usijilishe upepo hapa kujifanya sijui miradi sijui kile tunaongelea wizi uliokithiri chinj ya Shujaa msafi.
 
Nawaona chato gang mkijifariji kwa ujinga wenu. Tulikwambia uache umalaya wa kisiasa kumsupport mtu kwa sababu tu msukuma mwenzako alafu ukabisha. Kiko wapi sasa?? Magufuli alikuwa jizi na fedhuli kuliko kiongozi yeyote kuwai kutokea Tanzania
 
Watu wanashangaa ATCL kupata hasara wakati waliambiwa shirika linaingiza faida.

Tena linatoa hadi gawio.. Wewe ni mgeni?
Kama mtu unaelewa unajua tu zile ni politics, hakuna namna atcl itapata faida. Hilo la kwanza.

La pili, atcl isibgeweza kupata faida kwa sababu ina madeni makubwa sana ya huko nyuma, yana riba kubwa hivyo hakuna uwezekano wa kupata faida.

Namba 3, sheria ya mapato ghafi inataka kila shirika lichangie kidogo kwenye mfuko mkuu wa serikali kutoka kwenye mapato yake ghafi kwa serikali, hiyo ndio wanaiita gawio ingawa in real sense sio gawio ni mchango.

Mwisho, usisubiri kila kitu uambiwe, utaishia kudanganywa na siku ukiujua ukweli utaumia na utakua disappointed. Jitahidi kupata taarifa zako kwanza na bahati nzuri taarifa nyingi ziko publicly available sema hatuzitafti tunasubiri tuletewe.
 
Kujenga miradi haina maana kuwa hawakupiga. Walikusanya kodi kwa mtutu wa bunduki wakajenga miraduli. Wakatuibia na kuficha data kwa mtutu wa bunduki, waliojaribu kuhoji wakapigwa risasi na kupotezwa nadhani umeelewa
 
MM anahuzunisha Sana !
 
Wapigaji wamerudi kwa kasi ili mambo yao yaende kazi ni moja kuua legacy yote ya mwendazake alafu waanze kupiga kama ilivyoada
JIWE NI MWIZI, PERIOD! Unauaje legacy ambayo haipo?! Ni Wajinga tu ndio walikuwa wanamwamini Jiwe! Hivi kuna mwenye akili timamu asiyefahamu ukaribu wa Jiwe na Mkurugenzi wa Mayanja Constructions?! Mayanja ile ile ambayo ilipewa ujenzi wa Chato International Airport katika mazingira ambayo, ili kubana ushindani, wakaweka sharti kwamba Contractor atoke KANDA YA ZIWA TU!!! Ujenzi ulitakiwa uwe kwa 39 Billion lakini ikapanda hadi 42 Billion!
 
Ajenda gani?? Mshenzi wenu angekuwa msafi asingemtoa kwenye cheo chake Prof Assad. Ile ni ishara tosha hakuwa msafi na ni mchafu kuliko kiongozi yeyote kuwai tokea Tanzania
ALITOKA KWA SHINIKIZO LA NDUGAI BAADA KUSEMA BUNGE NI DHAIFU NDUGAI ALIKATAA KUFANYANAE KAZI.
 
Kuna siku nilimuona waziri wa nishati akifanya ukaguzi wa Nyerere dam rufiji akamgombeza mkandarasi Kwanini haleti wataalamu wa kutosha kusimamia nguzo za bwawa maana kimkataba kila nguzo lazima isimamiwe na mtaalamu
Wake nikajiuliza ilikuwaje kampuni inayofanya ubabaishaji wa namna hio ilipata tenda ya ujenzi ukizingatia bwawa la umeme ni moja ya ujenzi mgumu na wenye kuhitaji umakini wa hali ya juu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…