chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 8,680
- 18,035
Kiukweli Tanzania sijui tunaelekea wapi hakuna cha wasanii wala habari kule youtube. Yaani hawa wasanii wanaojiita wachekeshaji aka comedy wa Tanznaia.
Unafungua YouTube ukiona tu page zao basi neno linatangulizwa "utacheka" sasa ucheke wakati sijaona kinacho chekesha.
Msanii anaanza kucheka mwenyewe mpaka kunamalizika halafu hakuna la maana. Nyie wasanii kama mnakosa kazi kuna kulima.
Mtu anaongea sauti hata hazieleweki basi ziwe na ustadi na mavionjo mengi ya muziki utadhani vikatuni vya Tom na Jerry.
Kama hamuwezi kuchekesha au mnachokionesha kwenye habari zenu msilazimishe neno "utacheka"
Unafungua YouTube ukiona tu page zao basi neno linatangulizwa "utacheka" sasa ucheke wakati sijaona kinacho chekesha.
Msanii anaanza kucheka mwenyewe mpaka kunamalizika halafu hakuna la maana. Nyie wasanii kama mnakosa kazi kuna kulima.
Mtu anaongea sauti hata hazieleweki basi ziwe na ustadi na mavionjo mengi ya muziki utadhani vikatuni vya Tom na Jerry.
Kama hamuwezi kuchekesha au mnachokionesha kwenye habari zenu msilazimishe neno "utacheka"