Majok majok
JF-Expert Member
- Aug 3, 2023
- 783
- 2,057
Najiuliza tu unacheza na vitimu vya madaraja ya chini uko ulikoenda na vinafanikiwa kupata magoli No clean sheet dhidi ya vitimu dhaifu vipi ukikutana na prince dube? Vipi ukikutana na jean othos baleke?
Vipi ukikutana na Aziz ki? Vipi ukikutana na Pacome mwana wa zouzou? Vipi mwamba wa Lusaka atakuacha salama?
Hii ni hatari atuwatishi lakini sio afya kwa mpira wa miguu Tanzania, ukuta wa mabua unaenda kudhalilika Tena, habari za derby ainaga mwenyewe azina nafasi kwa sasa mpira ni sayansi na sio mazoea!
Vipi ukikutana na Aziz ki? Vipi ukikutana na Pacome mwana wa zouzou? Vipi mwamba wa Lusaka atakuacha salama?
Hii ni hatari atuwatishi lakini sio afya kwa mpira wa miguu Tanzania, ukuta wa mabua unaenda kudhalilika Tena, habari za derby ainaga mwenyewe azina nafasi kwa sasa mpira ni sayansi na sio mazoea!