Kama kujiuzuru kwa Ali Kamwe ni Sababu ya kurudi kwa Haji Manara, ni bora Manara aondoke Yanga

Kama kujiuzuru kwa Ali Kamwe ni Sababu ya kurudi kwa Haji Manara, ni bora Manara aondoke Yanga

nuporo

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2018
Posts
1,534
Reaction score
3,387
Kama kujiuzuru kwa Ali kamwe ni Sababu ya kurudi kwa Haji Manara . Ni bora Manara aondoke Yanga

Thread hii sehemu ya kuzungumza ukweli ikiwa Aki kamwe kujiuzuru ili haji Manara achukue nafasi yake usiungaishwe na thread zingine..


Taarifa iliyopo sasa
A Good dancer must know when to Leave a Stage.

𝑀𝑡𝑢𝑚𝑏𝑢𝑖𝑧𝑎𝑗𝑖 𝑚𝑧𝑢𝑟𝑖 𝑎𝑛𝑎𝑡𝑎𝑘𝑖𝑤𝑎 𝑘𝑢𝑗𝑢𝑎 𝑛𝑖 𝑤𝑎𝑘𝑎𝑡𝑖 𝑔𝑎𝑛𝑖 𝑤𝑎 𝑘𝑢𝑜𝑛𝑑𝑜𝑘a 𝐽𝑢𝑘𝑤𝑎𝑎𝑛𝑖..

Maneno ya hekima kutoka katika kinywa cha Patrick Loch Otieno Lumumba;

Na ni Hekima hii, inanituma mbele yenu Wananchi, Mashabiki na Wanachama wa Klabu yetu pendwa, kuwaambia kuwa, Ni wakati sasa wa kijana wenu kuondoka Jukwaani.

Nimesimama Miaka miwili juu ya hili Jukwaa, Tumeimba, Tumecheza, Tumefurahi na Alhamdulillah Tumeshinda pamoja kila pambano Lililokuja mbele yetu.

Muda wangu umemalizika na Asanteni sana.

Tutaonana tena Wakati mwingine nikiwa na kitu kizuri cha kuwaonyesha Juu ya Jukwaa.

DaimaMbeleNyumaMwiko.

Mwenyekiti wa Wasemaji
Ally Kamwe.

Screenshot_20240728-225720.png
 
Hakika kama ni Kweli Basi Utopolo Kazi mnayo....

Yaani Aliyewaita Utopolo Wote Mazuzu,Leo Kakabidhiwa Kitengo..?
 
Kama kujiuzuru kwa Ali kamwe ni Sababu ya kurudi kwa Haji Manara . Ni bora Manara aondoke Yanga

Thread hii sehemu ya kuzungumza ukweli ikiwa Aki kamwe kujiuzuru ili haji Manara achukue nafasi yake usiungaishwe na thread zingine..


Taarifa iliyopo sasa
A Good dancer must know when to Leave a Stage.

𝑀𝑡𝑢𝑚𝑏𝑢𝑖𝑧𝑎𝑗𝑖 𝑚𝑧𝑢𝑟𝑖 𝑎𝑛𝑎𝑡𝑎𝑘𝑖𝑤𝑎 𝑘𝑢𝑗𝑢𝑎 𝑛𝑖 𝑤𝑎𝑘𝑎𝑡𝑖 𝑔𝑎𝑛𝑖 𝑤𝑎 𝑘𝑢𝑜𝑛𝑑𝑜𝑘a 𝐽𝑢𝑘𝑤𝑎𝑎𝑛𝑖..

Maneno ya hekima kutoka katika kinywa cha Patrick Loch Otieno Lumumba;

Na ni Hekima hii, inanituma mbele yenu Wananchi, Mashabiki na Wanachama wa Klabu yetu pendwa, kuwaambia kuwa, Ni wakati sasa wa kijana wenu kuondoka Jukwaani.

Nimesimama Miaka miwili juu ya hili Jukwaa, Tumeimba, Tumecheza, Tumefurahi na Alhamdulillah Tumeshinda pamoja kila pambano Lililokuja mbele yetu.

Muda wangu umemalizika na Asanteni sana.

Tutaonana tena Wakati mwingine nikiwa na kitu kizuri cha kuwaonyesha Juu ya Jukwaa.

DaimaMbeleNyumaMwiko.

Mwenyekiti wa Wasemaji
Ally Kamwe.

View attachment 3055510
 

Attachments

  • 5031589-b8dadfefa4b7b76ca1c17c7ae8774fb4.mov
    7.5 MB
manara effect
manara alikula kichwa cha antonio nugaz. sasa amekula kichwa cha ali kamwe.

nugaz alika clouds fm alivoenda yanga hakurud tena clouds fm.

ali kamwe alika azam tv hana tena nafas ya kurud azam tv moral lesson ni. .........
 
Wenye akili pale Yanga walikuwa wawili tu (JK & baba yake), alivyoingia akawa mtu wa tatu mwenye akili.
 
Nakumbuka wakati Ali anajiunga na YANGA jamaa alimchimba biti kuwa anamwaribia na kwamba ndiye aliyemtafutia ulaji Azim

Sasa amerejea kutoka lupango dogo KAONA hapa maji mazito usalama wangu kwanza

Yawezekana baba mzazi kaingilia kati na kuona anaweza kumpoteza kijana huku mzungu kule KURUJUAN

Kimsingi YANGA haiitaji Mzee kuwa kwenye habari na uhamadishaji. Dogo achilia mambo ya utani alipchangamsha Sana.

Huyu Mzee wa enzi vituko vyake vimepitwa na wakati na hata siku ya day utaona atashika mic na maneno ndio Yale Yale ya a zzzzzzzzzzi... Na kubusu/ kupangusa viatu vyao
 
Msimamo wa kila mwana Yanga anayejitambuwa hatumtaki Manara Yanga fullstop.

Kama Ally Kamwe hataki kuendelea hicho kitengo apewe Maulid Kitenge hata Zembwela, huyu kichaa aende GSM wakampe kazi ya kufanya.
 
Back
Top Bottom