Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Kama wewe mwenyewe umeshindwa kujisimamia, utawezaje kumsimamia mke pamoja na watoto?
Narudia tena kukushauri, usioe kama kula yako ni ya shida; tatua kwanza changamoto ulizonazo, na uhakikishe uhakika wa kupata chakula kila siku upo, ndipo uoe.
Kuoa sio fasheni
Narudia tena kukushauri, usioe kama kula yako ni ya shida; tatua kwanza changamoto ulizonazo, na uhakikishe uhakika wa kupata chakula kila siku upo, ndipo uoe.
Kuoa sio fasheni