Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuwiva ndio kufanyaje??aliyewiva
Tayari nimekuaUkikua utajua
Kulikuwa na sababu zipi za kufanya hivyo ili utaratibu ufwatwe aweze rejeshewa haki yake.Haki iliyocheleweshwa ni haki iliyonyimwa.Mimi kama mwanakijiji nataka Mwenyekiti aliyewiva katika kuzijua kanuni mbalimbali ...sitaki mwenyekiti mshari au lialia.
Sasa kama unahisi umeonewa onesha weledi wa kupambana kupitia kanuni sio vurugu wala media.