MGODOLO
JF-Expert Member
- Oct 23, 2020
- 209
- 174
Habari zenu ndugu wana JF?
Yamenikuta ndugu yenu, naombeni msaada wa kisheria, hii kesi itanibana wapi?
UZI ULIOPITA KUHUSU SWALA HILI
www.jamiiforums.com
Kuna uzi nilisha wahi kuutoa hapa Jf (LINK HAPO JUU), Kuhusu binti mmoja niliempa mimba, lakini nilipata matatizo kazini kwangu (Traffic case) (mimi ni dereva) tajiri akagharamia mpaka nikawa huru, hivyo mshahara wangu ukawa unakatwa kwa lengo la kufidia kile kiasi walicho kitoa...
Binti yule alijifungua siku moja baada ya mimi kutoka mahabusu, Sikua na kiasi cha pesa kuhusu uzazi, hivyo nikakopa kwa ndugu jamaa na marafiki,.. Nikabahatika kupata kiasi fulani cha pesa
Uzazi ukaenda salama,... Sasa kazini kwangu nakatwa nusu ya mshahara,.. Na nikichukua kilicho baki, napunguza mkopo niliokopa kwa ndugu jamaa na marafiki, hivyo kiasi ninachobakiwa nacho ni kidogo kiasi kwamba nashindwa kutoa matumizi mazuri kwenye ile familia yangu,.. Na sababu ya familia yangu kuishi kwao ni kukosa mahari ya kuoa.. Sasa kutokana na udogo wa pesa, nikawa nawapatia elfu 40 kwa mwezi, (WAO HULALAMIKA NI KIASI KIDOGO ILIHALI MATATIZO YANGU WANAYAJUA) Mtoto wangu sikuweza kumpelekea nguo, lakini yote ni ukosefu wa pesa. Hivyo nikaendelea kutoa hio 40 kila mwezi. Tena kwa kujibana mno, wakati mwingine naacha kulipa kodi niwatumiwe wao.
Sasa Mwishoni mwa mwezi wa kwanza, Nikaschishwa kazi, na bado deni lao sijamaliza, na hata wale ndugu jamaa na marafiki nilio wakopa madeni yao sijamaliza pia
Tajiri yangu akasema, (KWASABABU BADO NAKUDAI TAKRIBANI LAKI SITA HIVI, NAKUSAMEHE, LAKINI MSHAHARA WAKO WA JANUARI HATUTOKUPA ILI KUPUNGUZA DENI LETU)... Ndugu yenu nilichanganyikiwa kuskia hata mshahara wangu sitapewa, na jinsi JANUARI ILIVYO
Nilitoka kinyonge sana.
Sasa baba yake yule binti, kasikia kua sina kazi,.. Nikaitwa kikao siku ya Alhamisi ya tarehe 09/02/2023,.. Wakaniuliza nina mpango gani na binti yao?.. Mimi nikawajibu, niko tayari kumuoa lakini changamoto ni mahari ambayo mtataka kwasasa sina... (HUYO NI BABA YAKE WA KAMBO) Baba yake huyo akasema Jumapili ya wiki ijayo, ambayo ndio Jumapili ya leo tarehe 19, Kua watakuja wajomba zake binti ufungishwe ndoa, kwahio andaa pesa ya ubani...
Nikaona ni poa na uzuri, mwanamke yupo tayari kuishi maisha yeyote,.. Anajua sina kazi lakini yupo tayari kuolewa, nami naona poa mungu ata bless mbele kwa mbele...
Sasa Jumapili ya leo tarehe 19/02/2023, Wajomba ndani ya nyumba... Nilijiandaa na kama elfu 30,000 (elfu thelathini) kama ya kufungisha ndoa, na ndani nilikua na elfu 50 tu, hivyo nimebakiza elfu 20 ndani, yaani kama ikitokea nimepewa mke,. Tuanze nayo kisha mungu abless mbele kwa mbele
Lakini kikao hicho, dhumuni lao ni lile lilena kutaka mahari kwanza.. Nikawambia, (KWASASA SINA KAZI, HIO MAHARI NITATOA WAPI) Wakasema (YAANI UNA WIKI MBILI TU HUNA KAZI, AFU LEO UNASEMA HUNA PESA.. HAIWEZEKANI, HUYU TUMPELEKE DAWATI, LAZIMA TWENDE USTAWI WA JAMII... WEWE ONDOKA ZAKO, TUTAJUA CHAKUFANYA) nikaondoka kwenye kikao hicho mida ya saa kumi na moja jioni hii,..
Kuhusu mwanamke anataka kuolewa namimi hata kama sina mahari, ila wazazi wake ndio wanakaza... Sasa najua wakienda huko dawati,.. Lazima wamsokote mtoto wao namna ya kuongea ili wanibane kisheria... Je? Kama itatokea hivyo,.. Mimi nifanyeje ndugu zangu, Mana wajomba wamekua wamoto
Kama kuna aliwahi pitia haya, anisaidie kimawazo, lakini kama kuna mhusika wa ustawi wa jamii pia anipe mawazo, nifanyeje?
Nawasilisha..... Nitangulize shukrani zangu kwenu.
Yamenikuta ndugu yenu, naombeni msaada wa kisheria, hii kesi itanibana wapi?
UZI ULIOPITA KUHUSU SWALA HILI
Hii imekaaje kisheria na itanibana kwa kipengele gani, na nijiandae na nini?
Naombeni wana sheria na wadau mliopitia hizi changamoto mnisaidie! Habari zenu wana Jf, nina changamoto na mzazi mwenzangu ambaye nia yangu ilikua ni kumuoa lakini kwa mabadiliko yake kuwa mabaya, nia ikatoweka na sitaki hata mtoto. Nitazungumzia kwa ufupi ili kufupisha maelezo. Mimi(28)...
Kuna uzi nilisha wahi kuutoa hapa Jf (LINK HAPO JUU), Kuhusu binti mmoja niliempa mimba, lakini nilipata matatizo kazini kwangu (Traffic case) (mimi ni dereva) tajiri akagharamia mpaka nikawa huru, hivyo mshahara wangu ukawa unakatwa kwa lengo la kufidia kile kiasi walicho kitoa...
Binti yule alijifungua siku moja baada ya mimi kutoka mahabusu, Sikua na kiasi cha pesa kuhusu uzazi, hivyo nikakopa kwa ndugu jamaa na marafiki,.. Nikabahatika kupata kiasi fulani cha pesa
Uzazi ukaenda salama,... Sasa kazini kwangu nakatwa nusu ya mshahara,.. Na nikichukua kilicho baki, napunguza mkopo niliokopa kwa ndugu jamaa na marafiki, hivyo kiasi ninachobakiwa nacho ni kidogo kiasi kwamba nashindwa kutoa matumizi mazuri kwenye ile familia yangu,.. Na sababu ya familia yangu kuishi kwao ni kukosa mahari ya kuoa.. Sasa kutokana na udogo wa pesa, nikawa nawapatia elfu 40 kwa mwezi, (WAO HULALAMIKA NI KIASI KIDOGO ILIHALI MATATIZO YANGU WANAYAJUA) Mtoto wangu sikuweza kumpelekea nguo, lakini yote ni ukosefu wa pesa. Hivyo nikaendelea kutoa hio 40 kila mwezi. Tena kwa kujibana mno, wakati mwingine naacha kulipa kodi niwatumiwe wao.
Sasa Mwishoni mwa mwezi wa kwanza, Nikaschishwa kazi, na bado deni lao sijamaliza, na hata wale ndugu jamaa na marafiki nilio wakopa madeni yao sijamaliza pia
Tajiri yangu akasema, (KWASABABU BADO NAKUDAI TAKRIBANI LAKI SITA HIVI, NAKUSAMEHE, LAKINI MSHAHARA WAKO WA JANUARI HATUTOKUPA ILI KUPUNGUZA DENI LETU)... Ndugu yenu nilichanganyikiwa kuskia hata mshahara wangu sitapewa, na jinsi JANUARI ILIVYO
Nilitoka kinyonge sana.
Sasa baba yake yule binti, kasikia kua sina kazi,.. Nikaitwa kikao siku ya Alhamisi ya tarehe 09/02/2023,.. Wakaniuliza nina mpango gani na binti yao?.. Mimi nikawajibu, niko tayari kumuoa lakini changamoto ni mahari ambayo mtataka kwasasa sina... (HUYO NI BABA YAKE WA KAMBO) Baba yake huyo akasema Jumapili ya wiki ijayo, ambayo ndio Jumapili ya leo tarehe 19, Kua watakuja wajomba zake binti ufungishwe ndoa, kwahio andaa pesa ya ubani...
Nikaona ni poa na uzuri, mwanamke yupo tayari kuishi maisha yeyote,.. Anajua sina kazi lakini yupo tayari kuolewa, nami naona poa mungu ata bless mbele kwa mbele...
Sasa Jumapili ya leo tarehe 19/02/2023, Wajomba ndani ya nyumba... Nilijiandaa na kama elfu 30,000 (elfu thelathini) kama ya kufungisha ndoa, na ndani nilikua na elfu 50 tu, hivyo nimebakiza elfu 20 ndani, yaani kama ikitokea nimepewa mke,. Tuanze nayo kisha mungu abless mbele kwa mbele
Lakini kikao hicho, dhumuni lao ni lile lilena kutaka mahari kwanza.. Nikawambia, (KWASASA SINA KAZI, HIO MAHARI NITATOA WAPI) Wakasema (YAANI UNA WIKI MBILI TU HUNA KAZI, AFU LEO UNASEMA HUNA PESA.. HAIWEZEKANI, HUYU TUMPELEKE DAWATI, LAZIMA TWENDE USTAWI WA JAMII... WEWE ONDOKA ZAKO, TUTAJUA CHAKUFANYA) nikaondoka kwenye kikao hicho mida ya saa kumi na moja jioni hii,..
Kuhusu mwanamke anataka kuolewa namimi hata kama sina mahari, ila wazazi wake ndio wanakaza... Sasa najua wakienda huko dawati,.. Lazima wamsokote mtoto wao namna ya kuongea ili wanibane kisheria... Je? Kama itatokea hivyo,.. Mimi nifanyeje ndugu zangu, Mana wajomba wamekua wamoto
Kama kuna aliwahi pitia haya, anisaidie kimawazo, lakini kama kuna mhusika wa ustawi wa jamii pia anipe mawazo, nifanyeje?
Nawasilisha..... Nitangulize shukrani zangu kwenu.