Kama kuna aliyewahi pitia haya, anisaidie kimawazo

Kama kuna aliyewahi pitia haya, anisaidie kimawazo

Acha uboya. Hapo hamna kesi, tena shikilia huo msimamo wako tu. Mke wanakupa bure maana hawana uhalali wala haki ya kwenda kwenye dawati la jinsia.

Hiyo ni mikwara tu ili utoe mahari wale. Ila wakijichanganya kwenda, uwe muwazi tu kwamba upo tayari kumuoa binti uhudumie mama na mtoto wako kama familia ila huna mahari.

Kesi imeisha.
Shukrani sana mkuu, natoa wasiwasi
 
Hapo hamna mke mkuu

Usiingie hofu yoyote hapo hakuna kesi ya jinai ya kukufunga

Jitahidi sana kupeleka matunzo kwa kadiri utakavyo jaaliwa usiache
Sana sana watakupeleka ustawi ambapo utapangiwa hela ya kutoa kwa mujibu wa kipato chako

Mkuu hiyo sio familia ya kuoa
 
Hapo hamna mke mkuu

Usiingie hofu yoyote hapo hakuna kesi ya jinai ya kukufunga

Jitahidi sana kupeleka matunzo kwa kadiri utakavyo jaaliwa usiache
Sana sana watakupeleka ustawi ambapo utapangiwa hela ya kutoa kwa mujibu wa kipato chako

Mkuu hiyo sio familia ya kuoa
Changamoto inakuja kwasasa sina kazi mkuu, hivyo sina kipato chochote kile... Na kuhusu mke hana tatizo, tatizo ni wazazi wake tu

Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
 
Afu wewe?.... Huku kulipiana mahari ni pagumu ndugu, ukija kudai afu iwe sina, heeeeeee... Utaskia nionyeshe nyumbani

Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
Acha uoga mkuu.

Niliona ni kitu kinakunyima raha ndio maana niliona nioponye nafsi yako ila kama ni kitu hauko comfortable nacho tupotezee tu
 
By the way, huko dawati wataenda kufukuzwa wao na aibu wataipata.
 
Acha utani... Sasa wafukuzwe kwanini mkuu?
Sio kazi ya dawati kuingilia hisia na mambo ya kifamilia.
Kazi ya dawati ni kuangalia walio vunja sheria kati ya mahusiano au ndani ya ndoa ama ke na me.
Mimi nilikutana na changamoto tano (5) zinazo taka kufanana na zamleta mada, kuna zilizo elekezwa dawati, mahakamani, ustawi na zote nilizinawa
 
Sio kazi ya dawati kuingilia hisia na mambo ya kifamilia.
Kazi ya dawati ni kuangalia walio vunja sheria kati ya mahusiano au ndani ya ndoa ama ke na me.
Mimi nilikutana na changamoto tano (5) zinazo taka kufanana na zamleta mada, kuna zilizo elekezwa dawati, mahakamani, ustawi na zote nilizinawa
Daaaahhhhhh, ibwana weee... Afu USTAWI WA JAMII na DAWATI... ni kitu kimoja au wako tofauti?
 
Daaaahhhhhh, ibwana weee... Afu USTAWI WA JAMII na DAWATI... ni kitu kimoja au wako tofauti?
Ustawi wanaangalia zaidi haki za mtoto na sio wazazi.
Dawati wanasuluhisha kabla ya kufungua kesi mahakamani, alie vunja sheria au kumnyanyasa mtoto, mke, mume
 
Ustawi wanaangalia zaidi haki za mtoto na sio wazazi.
Dawati wanasuluhisha kabla ya kufungua kesi mahakamani, alie vunja sheria au kumnyanyasa mtoto, mke, mume
Aaahhh umeshanitoa wasiwasi hivyo nasubiri watakapo kwenda waende tu
 
Back
Top Bottom