pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 18,406
- 14,643
Radio, magazeti na Tv ni habari za CCM tu na sio vyama vingine. Kwa vyovyote hii ni amri toka 'juu' Huu ni woga na ishara mbaya mbaya sana kwa CCM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je watu wanasikiliza hizo redio naTV??radio, magazeti na Tv ni habari za ccm tu na sio vyama vingine. Kwa vyovyote hii ni amri toka 'juu' Huu ni woga na ishara mbaya mbaya sana kwa ccm
Bado unafuatilia hivyo vyomba vya habari?Na pia nisaidieni kufahamu ni nani kazuia Lissu kutosemwa popote!?
Nimefuatilia magazeti kote kimya. BBC wakianza report habari zake sauti inakuwa muted.
Hii ni hatari kubwa.