Ninaishi Dar es Salaam na nina vifaa vya stationery vifuatavyo:
Photocopy machine 1
Printer 1
Lamination machine 1
Binding machine 1
Computer 1
Maelezo.
Vitu vyote hivyo kwa sasa havitumiwi baada ya biashara kufungwa kutokana na kukosa wateja.
Now nipo natafuta sehemu sahihi ambapo nitafungua biashara kwa mara nyingine.
Hivyo basi, kipindi hiki ambapo natafuta location ya biashara, natumia muda huu kuwaomba member wa JF wanisaidie pia.
Ombi langu ni 'kama kuna eneo ambalo unalijua na una fikiri linafaa kwa biashara ya stationery, please niambie ili nifanye mpango wa kupafanyia utafiti pia'
Eneo lazima liwe Dar es Salaam.
Mbezi mwisho stand Kuna uhitaji mkubwa wa huduma hizi. Nicheki kwa 0713039875 Nina frem nimelipia hadi june tuone partnershipNinaishi Dar es Salaam na nina vifaa vya stationery vifuatavyo:
Photocopy machine 1
Printer 1
Lamination machine 1
Binding machine 1
Computer 1
Maelezo.
Vitu vyote hivyo kwa sasa havitumiwi baada ya biashara kufungwa kutokana na kukosa wateja.
Now nipo natafuta sehemu sahihi ambapo nitafungua biashara kwa mara nyingine.
Hivyo basi, kipindi hiki ambapo natafuta location ya biashara, natumia muda huu kuwaomba member wa JF wanisaidie pia.
Ombi langu ni 'kama kuna eneo ambalo unalijua na una fikiri linafaa kwa biashara ya stationery, please niambie ili nifanye mpango wa kupafanyia utafiti pia'
Eneo lazima liwe Dar es Salaam.
Eneo lipo karibu na chuo cha UDSM na mabibo hostel in between (Riverside) kodi 300,000/= kwa mwezi .Ninaishi Dar es Salaam na nina vifaa vya stationery vifuatavyo:
Photocopy machine 1
Printer 1
Lamination machine 1
Binding machine 1
Computer 1
Maelezo.
Vitu vyote hivyo kwa sasa havitumiwi baada ya biashara kufungwa kutokana na kukosa wateja.
Now nipo natafuta sehemu sahihi ambapo nitafungua biashara kwa mara nyingine.
Hivyo basi, kipindi hiki ambapo natafuta location ya biashara, natumia muda huu kuwaomba member wa JF wanisaidie pia.
Ombi langu ni 'kama kuna eneo ambalo unalijua na una fikiri linafaa kwa biashara ya stationery, please niambie ili nifanye mpango wa kupafanyia utafiti pia'
Eneo lazima liwe Dar es Salaam.