October 17 had 27 Mwezi uliopita kuna kipindi nilipitia kipindi kigumu sana.
Kwanza kabisa nilianza kwa kukohoa, nilichukulia kawaida lakini siku ya pili nakohoa sana, asubuhi nilienda kununua good morning haikusaidia chochote
Jioni nimefika nyumbani mara ghafla tu mwili hauna nguvu, vungo havna nguvu, appetite hamu ya kula imepungua, kichwa kinauma na kikohozi kinaendelea, haikuwa hali mpya kwangu nikajua moja kwa moja nina homa pia ni dalili za Homa tulizofundishwa shuleni.
Kwenye akiba ya dawa zilibaki Toffplus na azuma nilizitumia lakini wapi, hapo bado naendelea kutumia goodmorning ya kkohozi bila unafuu wowote.
Siku ya tatu dalili mpya ikaongezeka ya kuhara nikaenda nkajivuta kununua flagil lakini wapi.
Ikabidi jioni niende kununua dawa ya homa Atequick shilingi elfu 10 na mia tano.
Muda mwingi nilitumia kulala.
Siku ya nne nikahisi kwa mbali sana mwili na viungo vimepata nguvu, nikafika muafaka niendelee na dozi, lakini kikohozi bado
Siku ya tano naendelea kutumia atequick, mwili na viungo vinaendelea kupata nafuu japo ni taratibu ila kikohozi kinaendelea nimenunue googd morning ya pili.
Siku ya sita dozi ilikuwa imeisha ya atequick, nilijidanganya nitajiponea kwasababu niliwahi kuumwa homa, dozi moja ilinitosha, nisilojua ni kwamba homa ya sasa ni balaa zaidi.
Hiyo siku ya sita kikohozi kilinikamata vibaya mno, nilikuwa nimelala ghafla nikaamka nikipumua nahisi maumivu mpaka nyuma kwenye mgongo, niliposimama nilihisi nakufa kwa kupumua, yani nikikohoa nahisi mbavu ya kushoto inachomolewa, kwa bahati nzuri nilipata wazo nijifunge taula kifuani nilikaza sana, hapo nilipata nafuu.
Siku ya saba nikaenda kununua dawa ya vidonge ya kikohozi inaitwa Flucamox, hii ndio ilinipa ahueni, Good morning haikufua dafu, nikaongezea na dozi ya atequick
Kikohozi nikaanza kupata nafuu huku atequick ilinisaidia kurudisha nguvu za mwili, kuondoa maumivu ya viungo, kupunguza kichwa kuuma, n.k.
Kufikia siku ya 10 nilikuwa na nafuu, mtihani ulikuwa ni chakula kukosa ladha japo niliweza kula, chakula changu kilikuwa ni chipsi, nyama na kinywaji grand malt.
Niliongeza dozi ya ziada ya atequick niliyotumia siku ya 11
Nilipona kabisa siku ya 12, msoto niliopitia sio wa kitoto
Ushauri:
Wahi hospitalini upimwa, Usikariri kutumia dawa flan kwa homa, Unaweza kupewa tiba bora zaidi
Kama upo mbali na hospitali nunua nunua dozi 2 za siku 6 na dawa ya kifua tumia nunua Flucamox
cc: Nimeponea tundu la sindano kufa. Serikali ichukue hatua, kuna mlipuko unaua kimya kimya
Kwanza kabisa nilianza kwa kukohoa, nilichukulia kawaida lakini siku ya pili nakohoa sana, asubuhi nilienda kununua good morning haikusaidia chochote
Jioni nimefika nyumbani mara ghafla tu mwili hauna nguvu, vungo havna nguvu, appetite hamu ya kula imepungua, kichwa kinauma na kikohozi kinaendelea, haikuwa hali mpya kwangu nikajua moja kwa moja nina homa pia ni dalili za Homa tulizofundishwa shuleni.
Kwenye akiba ya dawa zilibaki Toffplus na azuma nilizitumia lakini wapi, hapo bado naendelea kutumia goodmorning ya kkohozi bila unafuu wowote.
Siku ya tatu dalili mpya ikaongezeka ya kuhara nikaenda nkajivuta kununua flagil lakini wapi.
Ikabidi jioni niende kununua dawa ya homa Atequick shilingi elfu 10 na mia tano.
Muda mwingi nilitumia kulala.
Siku ya nne nikahisi kwa mbali sana mwili na viungo vimepata nguvu, nikafika muafaka niendelee na dozi, lakini kikohozi bado
Siku ya tano naendelea kutumia atequick, mwili na viungo vinaendelea kupata nafuu japo ni taratibu ila kikohozi kinaendelea nimenunue googd morning ya pili.
Siku ya sita dozi ilikuwa imeisha ya atequick, nilijidanganya nitajiponea kwasababu niliwahi kuumwa homa, dozi moja ilinitosha, nisilojua ni kwamba homa ya sasa ni balaa zaidi.
Hiyo siku ya sita kikohozi kilinikamata vibaya mno, nilikuwa nimelala ghafla nikaamka nikipumua nahisi maumivu mpaka nyuma kwenye mgongo, niliposimama nilihisi nakufa kwa kupumua, yani nikikohoa nahisi mbavu ya kushoto inachomolewa, kwa bahati nzuri nilipata wazo nijifunge taula kifuani nilikaza sana, hapo nilipata nafuu.
Siku ya saba nikaenda kununua dawa ya vidonge ya kikohozi inaitwa Flucamox, hii ndio ilinipa ahueni, Good morning haikufua dafu, nikaongezea na dozi ya atequick
Kikohozi nikaanza kupata nafuu huku atequick ilinisaidia kurudisha nguvu za mwili, kuondoa maumivu ya viungo, kupunguza kichwa kuuma, n.k.
Kufikia siku ya 10 nilikuwa na nafuu, mtihani ulikuwa ni chakula kukosa ladha japo niliweza kula, chakula changu kilikuwa ni chipsi, nyama na kinywaji grand malt.
Niliongeza dozi ya ziada ya atequick niliyotumia siku ya 11
Nilipona kabisa siku ya 12, msoto niliopitia sio wa kitoto
Ushauri:
Wahi hospitalini upimwa, Usikariri kutumia dawa flan kwa homa, Unaweza kupewa tiba bora zaidi
Kama upo mbali na hospitali nunua nunua dozi 2 za siku 6 na dawa ya kifua tumia nunua Flucamox
cc: Nimeponea tundu la sindano kufa. Serikali ichukue hatua, kuna mlipuko unaua kimya kimya