Kama kuna jambo limenishinda, ni kulala mapema

Kama kuna jambo limenishinda, ni kulala mapema

sanalii

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2018
Posts
1,639
Reaction score
5,767
Bila kufika saa sita au saa saba bado sijapata usingizi, hata nikilaximisha kulala saa tatu au nne, usingizi hauji, na ukija, saa sita nitashtuka hapo ni mpaka majogoo ndo nisikie usingizi.

Ila saa hizi kuna mtu amekoroma muda mrefu sana
 
Bila kufika saa sita au saa saba bado sijapata usingizi, hata nikilaximisha kulala saa tatu au nne, usingizi hauji, na ukija, saa sita nitashtuka hapo ni mpaka majogoo ndo nisikie usingizi.

Ila saa hizi kuna mtu amekoroma muda mrefu sana
Stress ni kitu mbaya sana, inakosesha raha, inakosesha amani, na kabisa huwezi pata utulivu wala usingizi ingawa umechoka sana 🐒
 
Umeongelea muda unaolala tu ila haujatuambia muda unaomka.

Unaamka saa ngapi?

Ukiamka huwa unakuwa active na shughuli gani?

Muda wa kulala huwa unakuwa umechoka au unakuwa kawaida?

Umeajiriwa au kujiajiri?
 
Wengine siku 3 hadi 5 unawinda usingizi kwa tochi,hakuna. Bora wewe saa saba unaupata. Mi huwa najiulizaga kwa nini,sielewi.
 
Umeongelea muda unaolala tu ila haujatuambia muda unaomka.

Unaamka saa ngapi?

Ukiamka huwa unakuwa active na shughuli gani?

Muda wa kulala huwa unakuwa umechoka au unakuwa kawaida?

Umeajiriwa au kujiajiri?
I am my boss
 
KWangu miki kulala na kuamka inategemeana na mambo mengi sana kama:

1. Niko wapi?
Mfano wiki hii nimekuja iringa home, hapa nyumbani yuko baba mama na sister. Dinner inaliwa saa 1 jioni. Washkaji wa utoton wote hawapo na mimi sio mzururaji kwahiyo saa 2 kasoro tayari niko kitandani.

But nikirud jijini, saa 3 naweza ndio nikawa natoka kwenye harakat za maisha. Nyumban naweza ingia saa 5 kulala yaweza kuwa saa 6.

2. Nina majukum gani?

Nikiwa mikoani mara nyingi ni kwaajili ya kufanya marketing and sales kwahiyo siku yangu inakua engaged sana na vikao na hiv ni katika masaa official kwalua na deal na wateja ambao ni taasisi so mara nyingi saa 10 nimemaliza vikao. So nikiwa nje ya Dar nalala mapema sana na kuamka mapema

Nikiwa jijin mara nying ratiba inani engage zaid kwenye desk jobs zaid so nashinda kwenye laptop muda mwingi na hii sasa haijalishi nimeamua kuingia ofisn au kufanyia kaz home, hapa huwa nafanya kaz muda mrefu so hata muda wangu wa kupumzika ni mchache.. nawe amka saa 10 alfajiri kulala saa 6 usiku..

Kwakifupi kwangu mazingiira na majukum katika mazingira husika ndio ju determine nalala saa ngap na naamka saa ngap!!
Oya acha show off mwanetu, jobless naona wivu na hasira kinyama🤒
 
Hizo tano ni nyingi sana mkuu ,
Mbona niliwahi kupiga zaidi ya 30 mkuu! Sema kipindi hicho maji kwangu yalikuwa Azam Energy,madhala yake sijui, minimum zilikuwa 4 kwa siku. Ilikuwa nikinywa,chupa situpi. Alinitembelea mtu alivyoziona,alishangaa,na ndo nikajua chanzo kilikuwa hicho.
 
Back
Top Bottom