Kama kuna jambo limenishinda, ni kulala mapema

Kama kuna jambo limenishinda, ni kulala mapema

Mbona niliwahi kupiga zaidi ya 30 mkuu! Sema kipindi hicho maji kwangu yalikuwa Azam Energy,madhala yake sijui, minimum zilikuwa 4 kwa siku. Ilikuwa nikinywa,chupa situpi. Alinitembelea mtu alivyoziona,alishangaa,na ndo nikajua chanzo kilikuwa hicho.
Acha icho kinywaji mkuu ni hatari kwa afya, kulala ni muhimu, unapunzisha mwili na akili
 
Acha icho kinywaji mkuu ni hatari kwa afya, kulala ni muhimu, unapunzisha mwili na akili
Ilikuwa miaka hiyo mkuu,siku hizi ni mara moja moja tena joto likiwa kali. Kwa sasa situmii kihivyo,ni hali imejitokeza tu
 
Inawezekana, nasikia unaweza kua na stress bila kujua, but am not
hivyo ndivyo mkuu,
anaejua ana stress huyo ameathirika pakubwa kupindukia wengi huishi na dalili zote za stress like you but they don't know na hawez kubali kua ana stress , ndio tabia ya stress ilivyo 🐒
 
Hii hali inanitesa pia mwanzo nilikua nalala saa 6 usiku sahivi hali imekua mbaya inaenda hadi saa 8 usiku ndo napata usingizi
 
Hii hali inanitesa pia mwanzo nilikua nalala saa 6 usiku sahivi hali imekua mbaya inaenda hadi saa 8 usiku ndo napata usingizi
Kaka majukumu nayo yaki ongezeka ni shida tu, SI Wengine since young una fikiria makubwa.
👉Akili Ina kuwa in high curiosity kubwa, so sijui ita kuwaje.

Nisha wahi tumia pilton. Diaposam still zili dunda.
 
Aaah!!! afu ukilala huo muda unaamka saa ngapi mkuu?

Maana kuna watu watakuja kusema unakaa kwa shemeji unaamka saa 5 asubuh ushatengewa chai usiwasikilize hao mkuu nakupa tahadhari mapema
[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Kaka majukumu nayo yaki ongezeka ni shida tu, SI Wengine since young una fikiria makubwa.
👉Akili Ina kuwa in high curiosity kubwa, so sijui ita kuwaje.

Nisha wahi tumia pilton. Diaposam still zili dunda.
Noma sana madhara yake hadi utendaji kazi unakua siyo mzuri maana unashindwa kuishi ndani ya wakati
 
Back
Top Bottom