kwani wanaolala saa mbili wanashida gani?Haijalishi..lazima uwe na muda wa kuamka.
Maana unaweza ukalala saa 6 halaf ukaamka saa 4 asubuh..
Sasa wewe huna tofauti na anayelala saa 2 au saa 3 akaamka saa 12 asubh.
Na ikumbukwe kulala muda mfupi ninhatar kwa afya.
Acha icho kinywaji mkuu ni hatari kwa afya, kulala ni muhimu, unapunzisha mwili na akiliMbona niliwahi kupiga zaidi ya 30 mkuu! Sema kipindi hicho maji kwangu yalikuwa Azam Energy,madhala yake sijui, minimum zilikuwa 4 kwa siku. Ilikuwa nikinywa,chupa situpi. Alinitembelea mtu alivyoziona,alishangaa,na ndo nikajua chanzo kilikuwa hicho.
Hawana shida kabisaa.. kama ambavyo wewe unayelala saa 6 usivyo na shida. Ni masuala ya timetable tukwani wanaolala saa mbili wanashida gani?
Ilikuwa miaka hiyo mkuu,siku hizi ni mara moja moja tena joto likiwa kali. Kwa sasa situmii kihivyo,ni hali imejitokeza tuAcha icho kinywaji mkuu ni hatari kwa afya, kulala ni muhimu, unapunzisha mwili na akili
hivyo ndivyo mkuu,Inawezekana, nasikia unaweza kua na stress bila kujua, but am not
We nawe unalalaga muda gani??I mean no malice to nobody
Mlonda ndo nani 🙄🤔😄We nawe unalalaga muda gani??
Maana usiku wako na mchana wako!!
Wewe ni mlonda???
Wewe hapo. We dogo mlonda.Mlonda ndo nani [emoji849][emoji848][emoji1]
Afu nani dogo🙄, mlonda ni nini??Wewe hapo. We dogo mlonda.
Mi jobless pro max ndugu, we ndo boss bhana🤒Niko active tajiri,
Kaka majukumu nayo yaki ongezeka ni shida tu, SI Wengine since young una fikiria makubwa.Hii hali inanitesa pia mwanzo nilikua nalala saa 6 usiku sahivi hali imekua mbaya inaenda hadi saa 8 usiku ndo napata usingizi
[emoji16][emoji16][emoji16]Aaah!!! afu ukilala huo muda unaamka saa ngapi mkuu?
Maana kuna watu watakuja kusema unakaa kwa shemeji unaamka saa 5 asubuh ushatengewa chai usiwasikilize hao mkuu nakupa tahadhari mapema
Noma sana madhara yake hadi utendaji kazi unakua siyo mzuri maana unashindwa kuishi ndani ya wakatiKaka majukumu nayo yaki ongezeka ni shida tu, SI Wengine since young una fikiria makubwa.
👉Akili Ina kuwa in high curiosity kubwa, so sijui ita kuwaje.
Nisha wahi tumia pilton. Diaposam still zili dunda.