Kama kuna kombe jingine uko la maana yanga waambiwe maana ndio kazi zao hapa mjini

Kama kuna kombe jingine uko la maana yanga waambiwe maana ndio kazi zao hapa mjini

Majok majok

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2023
Posts
783
Reaction score
2,057
Ni vyema timu ya wananchi ikajulishwa Kama kunakuwepo na makombe yanayoeleweka ili waende kuyabeba kwani wamethibitisha ubora wao kwenye eneo ilo!

Timu kubwa siku zote inabeba makombe na timu ndogo inakamia mechi, Azam ilishachagua kukamia mechi pindi wanapocheza na yanga lakini wakicheza na Simba unashangaa hii ndio Azam au ni kopy yake Yani wanafungwa kirahisi sana na wanacheza mpira utafikiri ni timu ya daraja la 4 uko!

Prince dube alikuwa sahihi 100% mchezaji anayejitambua na anayetaka mafanikio awezi kubaki Azam kwa maana ni timu isiyokuwa na malengo inakamia mechi moja ya yanga alafu mechi nyingine inagawa pointi kipuuzi, viongozi wao wakifungwa na yanga wanaumia sana lakini wakifungwa na Simba wanaenda kusherekea ni ujinga wa kiwango Cha lami!

Sasa yanga aiwezi kucheka na kima ni kuwababua tu mtu na shoga yake mpaka akili ziwakae sawa!

NB ; KAMA TIMU YAKO INACHEZA SHIRIKISHO NI BORA UKAKAA KIMYA
 
Naunga mkono hoja
20240603_060130.jpg
 
Ni vyema timu ya wananchi ikajulishwa Kama kunakuwepo na makombe yanayoeleweka ili waende kuyabeba kwani wamethibitisha ubora wao kwenye eneo ilo!
Timu kubwa siku zote inabeba makombe na timu ndogo inakamia mechi, Azam ilishachagua kukamia mechi pindi wanapocheza na yanga lakini wakicheza na Simba unashangaa hii ndio Azam au ni kopy yake Yani wanafungwa kirahisi sana na wanacheza mpira utafikiri ni timu ya daraja la 4 uko!
Prince dube alikuwa sahihi 100% mchezaji anayejitambua na anayetaka mafanikio awezi kubaki Azam kwa maana ni timu isiyokuwa na malengo inakamia mechi moja ya yanga alafu mechi nyingine inagawa pointi kipuuzi, viongozi wao wakifungwa na yanga wanaumia sana lakini wakifungwa na Simba wanaenda kusherekea ni ujinga wa kiwango Cha lami!
Sasa yanga aiwezi kucheka na kima ni kuwababua tu mtu na shoga yake mpaka akili ziwakae sawa!

NB ; KAMA TIMU YAKO INACHEZA SHIRIKISHO NI BORA UKAKAA KIMYA
Mkuu na Blue Monday asubuhi una waharibu mood watu.
😀😀😀
 
Hakika, ni timu yenye kazi moja tu, KUCHUKUA VIKOMBE

Tunawasilisha maombi UEFA tukacheze UCL
 
Hivi hamna namna NMB nao wakadhamini kombe lolote tushiriki ili tuchukue Treble ya makombe ya BENKI... msije mkasema ngao ya jamii, Muungano au Mapinduzi maana hayo ni mabonanza

NBC[emoji736]
CRDB[emoji736]
NMB[emoji736]

[emoji3][emoji2][emoji1][emoji16]
 
Afrika hii kuna kombe la Maana zaidi ya CAFCL ? Huko mlishiriki . Je , mliishia wapi?
 
Wachezaji wanaobaki yanga wajulishwe kuwa huu ni mda mzuri wa wao kupumzika Kisha wakirudi pre season wawe na fresh leg waachane na mabonanza msimu ujao utakuwa tough sana
Kama wataweza waende Ulaya kuangalia euro wachukue ma ujuzi zaidi wakirudi tuna makombe maalumu ya kushiriki
1.Cafcl
2.AFL
3.NBC
4.CRDB
5.NGAO ya karia
Mengine waende under 20
 
Back
Top Bottom