Kama kuna mchawi humu aje kunijibu swali hili please

no need of smartphone / special device ..... can bring all info at a speed of light.
 
Teheeteheeee....... Mkuu mshana jr nataka kutafuta mchumba kupitia Badoo ya kichawi.
 
Ungo ni sawa na usafiri mwingine tu sema ungo unatumika kwenye ulimwengu wa giza tu otherwise kupepetea nafaka majumbani

Unapo drive chombo chochote unashauriwa kuwa makini zaidi sio ungo tu hata nyie mnao drive gari

Kuna mida wachawi tunajisahau tunaanza kupiga picha za kurusha whatsapp hapo ndipo balaa huanzia kama hujatunguliwa na kudondokea ktk paa la mtu basi utapoteza mwelekeo mpaka kuna kucha watu wanakuja kukushangaa
 
Do not misuse JF ur wasting our precious time........ We Utakuwa mwanafunzi tena kilaza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…