flulanga
JF-Expert Member
- Jul 1, 2016
- 4,860
- 6,390
Ndugu zangu ninakijiwe kinachoniingizia sio chini ya laki 3 kwamwezi, ila nimejiongeza nataka nifungue kijiwe kingine kama hichohicho ili niweke mtu ili niwe navijiwe viwili angalau kwamwezi niwe naingiza kuanzia laki 5. Changamoto yangu nimepeleza mtaji, maandalizi mengine yapo fresh ila sasa pesa ya kuwekeza hapo ndio shida inapoanzia, nikisema nivute subira ili nidundulize ili nipate huo mtaji naona tachelewa sana maana hiyo laki 3 ninayoingiza ndio naitegemea kuendeshea maisha yangu yakila siku.
Kama kuna member humu anaweza kuniamini nakunikopesha angalau milioni 1 ili niwekeze katika biashara yangu alafu nikae nayo ndani yamiezi 4, malipo nitalipa kwaawamu 4 kila mwezi nitalipa laki 2 nanusu. Najua wapo watu humu wenye moyo huo namungu amewajaaria huo uwezo.
NB: sipendelei riba kwasababu nidhambi. Uaminifu niasilimia zote.
Kama kuna member humu anaweza kuniamini nakunikopesha angalau milioni 1 ili niwekeze katika biashara yangu alafu nikae nayo ndani yamiezi 4, malipo nitalipa kwaawamu 4 kila mwezi nitalipa laki 2 nanusu. Najua wapo watu humu wenye moyo huo namungu amewajaaria huo uwezo.
NB: sipendelei riba kwasababu nidhambi. Uaminifu niasilimia zote.