Kama kuna mtu aliingia gest akafanya hivi nawaza mara mbili mbili IQ yake inawaza nini

Kama kuna mtu aliingia gest akafanya hivi nawaza mara mbili mbili IQ yake inawaza nini

Cheology

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2022
Posts
384
Reaction score
601
Ni kitendo cha kiwango cha ki mauaji

Si kila mtu anaweza kawaza haraka haraka hili.

Screenshot_20240505_211740_Lite.jpg



Yaani hapa ataitwa meneja au polisi au mjumbe.

Sio jambo dogo.

Sasa watakuwa wamekuudhi au unawachezea tu??
 
Yaani umetumia simu na wire kufunga miguu na kichwa.

Halafu ile handle ya kuongelea ukaiweka as if jamaa alikuwa akitaka.kupiga simu wapi sasa...au reception?

Hii ukiitafsiri kwa haraka utaona kama kituko ila kuna fasihi kubwa mno
 
Huyu jamaa amenikumbusha movie moja matata ya jamaa akiiba kwenye ATM.
 
Ni kitendo cha kiwango cha ki mauaji

Si kila mtu anaweza kawaza haraka haraka hili.

View attachment 2981941


Yaani hapa ataitwa meneja au polisi au mjumbe.

Sio jambo dogo.

Sasa watakuwa wamekuudhi au unawachezea tu??
Atakuwa mpalestina huyo. Halafu hapo siyo bongo kwasababu ya hiyo heater.
 
[emoji847][emoji847][emoji847] Unawachangamsha wasikae kinyonge
 
Back
Top Bottom