Atakuwa mpalestina huyo. Halafu hapo siyo bongo kwasababu ya hiyo heater.Ni kitendo cha kiwango cha ki mauaji
Si kila mtu anaweza kawaza haraka haraka hili.
View attachment 2981941
Yaani hapa ataitwa meneja au polisi au mjumbe.
Sio jambo dogo.
Sasa watakuwa wamekuudhi au unawachezea tu??