Kama kuna mtu anadhani hali ya hewa tunayoiona inaletwa na kukata misitu etc uzi huu umuamshe


Kwamba?

"..yaani Jeshi la Marekani na kiukweli Shetani, kui-terrorize Dunia kwa kutumia their geo-engineering technologies,hali ambayo tayari tunaiona."

Hiiiiii bagosha!

Hapo si rahisi tu. Kumwalika Mchungaji Masanja na kukemewa pepo?

Peepo, pepo! 🎤

Pepo la kudanga🎵
Pepo la uchawi🎶
Pepo la uzinzi🎵

Kemea pepo! 🔊
 
Hakuwezi kuwa na ushahidi wa kutosha kwa vitu ambavyo ni nonsense.
Bwana mdogo acha utoto. Kama kitu ni nonsense utueleze kwanini ni nonsense ama ukae kimya.

Usilete matusi ya kitoto. Hili jukwaa lina hadhi yake, na watu wengine tuko humu ili kupata maarifa mapya.

Kama huwezi kujenga hoja zenye mashiko, kacheze rede na watoto wenzio.

Acha watu waendelee kuhabarishwa na kujifunza.
 
Hebu niambie wewe unataka ushahidi wa namna gani unataka,kwa kuwa ushahidi niliotoa unajitosheleza kabisa 100%.Zipo hata patents za technologies za geo-engineering,lakini kwa ujinga huu,sina haja ya kuzileta.Mpo hapa kupotosha,sio kujifunza.
Mkuu hebu acha kuwajibu hao wapuuzi. Naona umekazana kweli kuwajibu.

Sijui una matatizo gani. Wengine tuko hapa kukufuatilia kwa makini unavyomwaga nondo lakini umekazana tu kujibizana na wehu.

Hebu usitukere tafadhali. Endelea kutupa madini.
 
[emoji16][emoji16] Vipi umeshachanjwa?
Acha utoto aisee!!

Acha watu wanaotaka kujifunza wajifunze.

Forums hii primarily iliwekwa kwa ajili ya watu kupeana taarifa za muhimu na maarifa ambayo huwezi kuyapata popote. So let it be that way.

Watoto wachache mliovamia hii forums mna uchaguzi wa kuendelea kuwa watazamaji ama kuondoka mtuachie tunaopenda kupata habari na kujifunza.
 

Mtoto mbona ni wewe. Kwani hujioni?

Hivi pilipili usiyoila inakuwasha vipi wewe?

Yaonesha ungali na hasira kubwa na chanjo.

Habari zenu za upotoshaji haziwezi kwenda unchallenged. Zificheni Facebook huko.

Habari ndiyo hiyo.
 
Mtu kama wewe you belong to my ignore list.

View attachment 2017789

Don't even bother to write back.
Hahaha... mpuuzi kweli kweli wewe.

I wish i could be moderator nikunyooshe ukajifie huko.

Jukwaa limepoteza hadhi yake ya kisomi kwa ajili ya vitoto vichache kama wewe vinavyoleta mzaha kwenye kila jambo.

Mizaha mizaha tu, ujuaji ujuaji tu. Shenzi kweli.
 
Hakuna kitu cha kujifunza kwenye huu utopolo
 
teh teh teh..huu uzi umejaa vituko haaa haaaa😂😂😂
 
teh teh teh..huu uzi umejaa vituko haaa haaaa😂😂😂

Huyo mwamba ni muumini wa kaji "sect"fulani cha dini chenye kuamini wao kuwa ni victims wa persecution. Vi "sects" vya namna hii ni maarufu sana Mbeya na pia Canada 😁😁.

Bahati mbaya ni kuwa wako hollow kuliko maelezo.

Anajiita daktari, ki-u-kamili - virologist.

Kapambana na Corona na chanjo weee kajikuta amepuuzwa. Alipo bila shaka keshapata AstraZeneca.

Hivi hapa kaja kivingine kama kingwendu tu 😁😁.

Mtu anamzungumzia shetani ukimsidia kukemea pepo kuna taabu gani?

Au nasema uongo ndugu yangu?
 
Mkuu hebu acha kuwajibu hao wapuuzi. Naona umekazana kweli kuwajibu.

Sijui una matatizo gani. Wengine tuko hapa kukufuatilia kwa makini unavyomwaga nondo lakini umekazana tu kujibizana na wehu.

Hebu usitukere tafadhali. Endelea kutupa madini.
Mkuu tukiwaacha watu wanaweza kuamini upuuzi wao,ndio maana nawakanusha.
 
Mkuu unapokanusha mabadiliko ya tabia nchi unahalalisha uchafuzi wa mazingira.
Dah,nadhani hujaelewa muktadha wa huu mjadala.Hatujasema mabadiliko ya hali ya hewa hayapo,yapo!Kinachogomba ni nani anayeyaleta mabadiliko haya kiualisia.Je,ni wakulima wa mpunga, mifugo au ukataji miti na labda viwanda kama wanavyo dai?Huo ndio mjadala.
 
Mkuu, sina affiliation na mambo ya kidini,
Na huwa mara nyingi siamin conspirancy lakini sizipuuzi pia.
Kitu kinacho shangaza ni watu kupinga vitu bila kufanya research/facts kwa kigezo hawajawahi kusikia vikiongelewa public
au kukubaliwa na wengi.
Niwaombe hawa watu wajaribu kuwa empty minded wanapo kuwa kwenye mada kama hizi ili kuona uhalisia zaidi(clarity)
jinsi vitu vilivyo badala ya jinsi walivyo .
Siwaalamu wanaopinga kwa sababu najua process ya kuwa enlightment(to see things with clarity ) inachukua zaidi ya bidii
na juhudi.
Hawa watu hawampingi mtoa mada ila wanajaribu kutetea/ku-defend kile wanachokiamini kuwa ni ukweli
ambao ukiwauliza facts wanazo tumia kuamini kuwa huo ni kweli na sio propaganda pia hawana.
mwisho: mtoa mada inabidi hivi vitu viandikwe kwa lugha nyepesi ili hawa watu wasio elewa wapate mwanga kidogo.
Kama unaamini dunia inajiendea tu basi unaweza kupuuza hizi habari lakini kama una mashaka kama mimi
kuwa kuna master-mind katika kila kitu hapa duniani basi hizi mada zinakuwafikirishi sana.
I bealive everything until it proved wrong.
 
Naomba hii mada niiongelee kwa mtazamo wa kihistoria,
Sababu iliyo fanya mataifa kuwepo kutokana na historia ndio sababu itakayopelekea serikali moja
kuwepo nadhani ukifuatilia sababu ya kuzaliwa kwa mataifa hutapinga uwezekanao wa kuzaliwa kwa serikalimoja
kwa hoja tu za kihistoria,
Tena bila hata kuingiza mambo ya kiimani wala consipirancy.
Kwenye ule mkutano wa majuzi yule mama((Mia Mottley, Prime Minister of Barbados)) aliyeshangiliwa sana mpaka na boris johnson kuna sentensi aliisema,
"kama kunataifa linadhani linaweza kusurvive bila mataifa mengine, litakuwa halijajifunza kutokana na korona"
kwa tafsiri isiyo ya moja kwa moja .
New world order nadhani sio lazima dunia iwe taifa moja kama wengi wanavyodhani ila nadhani kunaenda kutokea umoja(chombo)
utakao kuwa na nguvu ya kuamrisha/kudhibiti mataifa yote bila pingamizi lakukataa makubaliano yeyote yatakayofikiwa na umoja huo.
Na probably inaweza kuondoa uhasama wa mataifa kadhaa yaliyonayo na kudhalisha system mpya au uhasama mpya.
Unapopinga uwezekano wa Serikali moja ya dunia haiwezi kuwepo wakati huo huo miaka michache iliyopita Tanzania haikuwepo
wala babu wa mababu zetu hawakuamini wala kufikiri kama makabila hasimu yataunda taifa moja na kushirikiana
unanifanya nifkiri zaidi.
Darwin aliwahi kusema kuwa"evolution never jumps", kila kitu kinafanyika kwa mpangilio/hatua maalum.
Na naamini kuwa warning comes before destruction.
 
Mkuu I am sorry, lakini mimi mtu akisha ingiza mambo ya conspiracy theories namuona yuko mind controlled na hana independent thinking.Equally Darwinism.Evolution sio science mkuu,it's fake science,because it cannot be proved through experimentation.Species zote kaumba Mungu,there is no question of evolution.Kama evolution ni real,kwa nini Sokwe leo hawa badiliki kuwa watu,acheni kuamini ujinga jamani.Theories hizi ni demonic kabisa na zina nia ya kuwafanya Wanadamu wamuasi Mungu.So again, ni purely demonic.
 
Mkuu ni me-quote statement yake kuelezea mambo ya kihistoria wala sio evolution.
Darwin katika kitabu chake cha orgin of species cha kushanganza hakuna sehemu ameeleza kuhusu orgin ya species
hata prize alizopata amepata kwenye botany.
Wala sijawahi kuwa muumini wa evolution nimeisoma na wala haina mashiko kunifanya niwe mshirika wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…