Kama kuna mtu anadhani hali ya hewa tunayoiona inaletwa na kukata misitu etc uzi huu umuamshe

Hivi unahitaji proof gani zaidi ya Klaus Schwan,Bill Clinton,Boris Johnson,Obama,Biden,Bill Gates,Pope Francis,Rockefeller,Rothschild George Soros,Waren Buffet na NWO elite wengine kukiri kwamba inakuja.Isn't that enough proof?
 
Hii issue ya N.W.O ina utata mwingi sana maana kwa 90% huwa tunakosa proof ya kuhusika kwa hao Freemasons.. sijui Illuminati tunaowatuhumu.

Kusema Freemason & Illiuminati wana-exist sio kosa ila sasa shida ni pale mnaposema kuwa hizi ni jamii za Siri sana kiasi kwamba kila kinachoendelea nyuma ya pazia ulimwengu haukijui.. sasa haya mambo yamefikaje hapa..??

Hii issue ya jeshi la Marekani ku-control Weather, sijui kuunda vimbunga na matetemeko ya Ardhi.. haina mshiko pia maana kwa kuangalia records Marekani imepigwa na Vimbunga vingi sana vya Kitropiki, sasa Nchi gani hiyo inayotengeneza vimbunga ili kujipiga yenyewe...?? Pia kwanini visitokee Nchi za Ncha ya kusini au kaskazini ila maeneo ya kitropiki tuu.??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
African rainmakers ni zaidi ya wataalam wa USA DOD. Usitutishe bana.
 
Brother hakuna doubt yeyote kwamba the Freemasons are real kwa kuwa viongozi wao wakuu wanakiri.Infact kuna wakati humo nyuma walikuwa na kipindi ITV.Uwepo was The NWO nao kadhalika sio questionable, kwa kuwa viongozi wakubwa Dunia waliokuwepo na waliopita na waliopo wamesema wazi kwamba Mfumo Mpya wa Dunia utakuwepo,au kwa Wanadamu kupenda au kwa nguvu,sasa we we ni nani hats useme hauta-kuwepo?
 
Unaongea sana

Unajifanya una utu halafu unatukana humo humo kosa unalojifanya kunihukumu nalo,kumbe na wewe punguani tu kama sisi wengine

Unataja taja mungu and blah blah kumbe mbwa tu kama wengine

Huna lolote bwana
Dogo sikia mungu wako hanihusu wala hanitishi!! huyo naweza mpiga makofi tu! sijatukana ila imeandikwa ivo!!!..... mie nimenukuu tu kuhusu mtu mpumbavu'' pia siyo tusi ila ndo alivo!..mie siyo mbwa ni Mtu!
 
Issue sio uwepo wao.... issue ni haya mambo mnayosema wanayafanya., proof iko wapi..??

Hivi, ni lini mliona (nipe obvious proof) jeshi la Marekani likiwa lina-manipulate Weather..?? Na wanafanya hivyo kivipi...??

Mara nyingi kila janga linapotokea basi tunamtafuta scapegoat wa kumlaumu... Mfano; Hii issue ya Tetemeko la Ardhi huko Haiti mlisema Marekani kausika, sasa jiulize... kwanini Haiti..?? Marekani ana mgogoro gani na Haiti...?? Kwanini asipige Cuba au Mexico..??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu,
Hii mada yenu hii (mvutano wenu huu) jana niliitumia kama baseline ya kutengeneza hoja kwenye falsafa ya Epicurus ya uwepo wa Mungu ambayo nilimuaddress moja kwa moja Supreme Pontiff/Pontifex Maximus/Summus Pontifex, yaani Papa Vatican. Nilimshawishi hadi mwishoni aka-like. Nilimwonyesha dosari na ukweli kuhusu mitazamo kinzani na role ya Kanisa. Japokuwa mnavutana sana lakini kwangu mimi nimechukulia mvutano huu kwa mtazamo chanya ninaolenga unipe tija. Kumbe basi, si kila mvutano humu ni mbaya.

Taswira kwa hisani ya google.
 
Nimeleta hapa undisputable truth,taarifa ambayo inatokana na Jeshi la Marekani lenyewe.If you can't trust this information,than there is nothing you can trust.
 
Nimeleta hapa undisputable truth,taarifa ambayo inatokana na Jeshi la Marekani lenyewe.If you can't trust this information,than there is nothing you can trust.
[emoji23][emoji23][emoji23] Hebu nipe Official page ambayo hilo Jeshi la Marekani limepost hiyo taarifa..., isije ikawa umeingia kwenye blog ya Conspiracy Theorist flani huko mtandaoni ukaji-confuse na Official Page ya USARMY.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za uongo, kama wangeweza basi wangemmaliza China kwa kumtumia kila aina ya hali mbaya ya hewa maana kawakaba koo anaelekea kuwa super power.
Hali mbaya ya hewa nakubaliana nawe kuwa haichangiwi sana na shughuli za binadamu bali inatokea natural. Dunia imepitia vipindi kadhaa vya hali ya hewa kubadilika na species flani kupotea hata kabla ya uwepo wa mwanadamu.
Inavyoonekana maisha yako katika circle, dunia inapita katika mifumo flan kisha ina jireset na kuanza upya.
 
Umedanganywa,the World is not overpopulated,na hata hivyoo, Mungu aliiumba Dunia iwe self sustaining until his chosen time.Mawazo ya overpopulation yanatoka kwa Shetani.
Anyway,unaonaje tukianza na wewe?
Self sustaining concept ingekua applicable kwa zama za zamani kabla ya mapinduzi ya viwanda na teknolojia. Kwa dunia tuliyofikia sasa hilo halipo na haliwezekani tena. Lazima tusemezane na kukubaliana na athari zinazoletwa na ongezeko la watu.

Na by the way, mimi sianguki kwenye hilo kundi la 'walaji wasio na faida'. Hawa ni pamoja na wanaozaa ovyo watoto kwa misingi ya kuamini fate ya maisha yao inapangwa na Mungu - which is nonsense. Kundi la pili, baadhi ya jamii wanaoshikilia tamaduni zinazozaa mzigo wa watu kwenye taifa mfano: jamii ambazo kwao elimu si kitu kinachopewa kipaumbele.
 
Acha theories wewe malaya

Mtoto wa kiume kua na mentality ya hearsay bila kua na proof ni ukuda

Punguza ukuda,uwe unaongea vitu na proof
Lakini pia Biblia hiyo hiyo!! inasema kuwa; na nukuu ''Imani siyo Mali ya kila Mtu!'' kondoo walio wake wanamjua mchungaji wao! tena km haitoshi ikaongezea tena ''siyo kila aniitaye Bwana!! Bwana! ataingia ktk Ufalme wa Mbinguni!

Ukiona mtu mwepesi kukimbilia uovu! ana sehemu yake ktk ziwa la Moto! utawajuaje sasa wa hivi?? na nukuu ni kwa ''matendo yao!! wewe na Mkuu wa Ulimwengu lenu moja wala usiwe na wasiwasi!! waache wa ukweli wasonge mbele hao!!
 
Nimeleta hapa undisputable truth,taarifa ambayo inatokana na Jeshi la Marekani lenyewe.If you can't trust this information,than there is nothing you can trust.
Kwamba mkuu na wewe una access ya taarifa za jeshi la Marekani? Hongera umepiga hatua kubwa sana.Vipi hii taarifa ni print au umeipata online? Kama ni online unweza nipatia address yake tafadhari.

Kingine nimeona umetaja baadhi ya watu,pia umesema habari za Freemasons.Swali langu ni hili hapa,unaijua Freemason kweli au unasikia kwa watu? Hii kitu wengi naona wanaivamia lakini hakuna wanachojua zaidi ya kusema ni ushetani,sijui kafara and blah! blah!.Nakupa maelezo kidogo then ukitoka hapa ukasome zaidi.Freemason kama concept imeingia kwenye lugha nadhani ilikuwa mwanzoni kabisa mwa karne ya nne(4) ambayo maelezo yake ilikuwa ni charitable organisation.Wengi hupenda kuwaita wajenzi huru,baada ya muda kupita hii organisation ikafifia na kupotea kutokana na mambo ya membership,fund and the list goes on.Hiki unachokiita Freemasons karne ya 21 sio, bali ni watu tu wanafanya ushirikina sasa kwasababu kila mtu ni mwanazuoni siku hizi ndio maana atakuja na majina yake atakwambia fulani ni freemason lakini yeye anajisahau kwamba ni mshirikina,msengenyaji,mwizi,n.k

Wewe utakuwa mtu wa dini bila shaka kwa maana katika maelezo yako nimeona umetaja habari za Yesu.Hivi Yesu alikupatia wewe hukumu au alikueleza nini juu ya mtazamo kwa wanadamu wenzio? He says,you shall not judge for you will not be judged.Sasa kama ndivyo asemavyo wewe hizi list unazotuletea hapa ulizitoa wapi and who confessed kwamba ni freemason? .Again, in the book of revelation, the spirit warns of the signs that will display on final days and calls believers to be on alert.The spirit does not tell anyone to judge or be alarmed by the signs.Sasa wewe hofu yako ni hipi? for what is said ni kwamba you should not be alarmed by the signs and your job is not to fight anything.

Kuhitimisha naona unapenda sana story za movie sana,sasa naweza kupatia copy ya kitabu kinaitwa The Red Planet ukikisoma nadhani utafurahi zaidi maana kina stori nyingi kama ulizoleta hapa.Kingine mbona wale mnaopenda kusema sana freemason hakuna siku nimesikia mkitaja Lion's club,Rotary club au hizo hamjazisikia bado.
 
Biblia inakutuma utukane wanadamu na wewe unatukana kweli?
Hapana Mkuu haija tutuma!! Bali imeandikwa hivo miaka kibao huko? kuwa watu wa aina yako ni ''wapumbavu'' elewa kuwa siyo wajinga bali ni wapumbavu!! na Yaani kuna tofauti kubwa kati ya mjinga na Mpumbavu!! wajuzi naomba mtusaidie hapa!

Sasa Mkuu mie naomba kukuuliza Ukiwa mpumbavu si ndivo ulivo? au!! jamani hivi ...au mie ndo sielewi......... Hakuna Mbadala. humu Duniani Binadamu mko makundi aina mbili tu! km ifuatavyo..

1.Wa lio wake Mungu!
2. walio wake Shetani; (Mkuu wa ulimwengu)! Baba lao: Luciferian! Illuminat! Occult nk!

km ilivo kwa Upande wa Nuru!! na upande wa giza ivoivo! ;wa giza wao kuna wale ambao wanatumika tu bila kujua!! ni wakali km pilipili hawa mitusi ngumi nje nje km Wyatt mathewson;! wa kundi la pili ktk giza hao, ni

wastaarbu lkn wenye asili ya shetani tupu! tena hawa wanaweza hata ingia makanisani na Mkawaamini! wakawa wachungaji hasa! watamka moto shuka unashuka kweli!

Hata ufanyeje!! piga ua galagaza Duniani humu mko hivo! Never hakuna ''Mtu Neutral'' Tena ni rahisi kuwajua na kuyapambanua haya makundi mawili!.... ila Bandugu kuna Raha sana kuijua hii Dunia hii! na iviijazavyo!

Tena Luciferians wana sifika kwa matusi! mihasira! wizi,uuaji! uongo! uchonganishi! uchawi nk!! tangu miaka lukuki huko nyuma! sasa leo hii agent km huyo aki ku attack utamfanyaje??!! ni shoka la kichwa tu! bila huruma! km Musa alivo mchakaza Farao!

Na Historia ya kidunia kuhusu Farao ipo mpaka kesho! na mjisura wake upo!! mpaka kesho kutwa sasa kichaa mmoja seme eti ni fantasy kweli hayooooooooo!! kwanza Mungu hamtaki ataaminije km Mungu hakutaki???
 
Huyu mleta uzi ni mtu aliyechanganyikwa na ugoro wa mitandaoni, alichobakisha tu ni kusema dunia sio duara ni flat.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Umepiga kwenye mshono kwa huyu mleta uzi.
Out of topic: Mimi kitu kinachoitwa depopulation ninakiunga mkono. Tupo wengi sana duniani hasa huku Afrika kwenye watu wasio na faida.
Tena nikipata pesa zao pro-depopulation nitasapoti na kusukuma agenda.
 
Hamjui chochote, ni ujinga tu umewajaa kichwani na mnazidi kuuongeza kwa ujinga mwingi uliozagaa mtandaoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…