William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,761
- 2,391
Hakuna wakati ambao simba inahitaji nguvu ya mashabiki wake kama kesho.
Licha ya miyeyusho ya akina Kajula. Timu ina ceo alafu inaongozwa na kelele zetu. Lakini chonde chonde tusikose kwenda kuangalia mechi hiyo kesho.
Nje ya matatizo ya uongozi ni wakati wa wawashabiki na wachezaji kuungana kuisapoti timu.
Wachezaji wanatakiwa wajitume kwaajili yetu washabiki.
Licha ya miyeyusho ya akina Kajula. Timu ina ceo alafu inaongozwa na kelele zetu. Lakini chonde chonde tusikose kwenda kuangalia mechi hiyo kesho.
Nje ya matatizo ya uongozi ni wakati wa wawashabiki na wachezaji kuungana kuisapoti timu.
Wachezaji wanatakiwa wajitume kwaajili yetu washabiki.