Kama kuna Rais anayetafuta legacy ya kudumu asimamie mipango miji

Kama kuna Rais anayetafuta legacy ya kudumu asimamie mipango miji

Mimi na kupinga mipango miji sio kipaumbele mimi naomba Raisi atakae weza kusambaza maji safi na salama nchi nzima hasa hasa Dar na Dodoma, huyu ata akibadili katiba atawele mihula mitatu amalizie mradi ntamsupport na hili jambo linawezekana Ziwa Victoria lina maji baridi na ya wakika. Kama unaweza kusafirisha mafuta kitoka Hoima Uganda kwanini km 1600 kwanini usisafirishe maji kutoka shinyanga 900km hadi Pwani.....maji ni kero dar.
Hujui kwamba miji inapojengwa kwa strategies nzuri hata namna ya kuprovide services kama hizo inakuwa rahisi kwa sababu Kila kitu kitakuwa na mkondo wake sahihi? Uholela nao hupelekea ugumu kwenye baadhi ya mambo sometimes..
 
Yaani nikifumba na kufumbua huwa sipati hata matumaini kama n Tz itakuja kuwa na mipango miji ya kueleweka hapo baadae.
Yaani hata mgeni akishuka pale JNIA anaanza kushuhudia mji ulivyo hovyo bila kupangika. Hadi aibu.

Na hili haliwezi fanyika bila kuwa na political will ya kurekebisha miji yetu.

Hapa ni New York, unafikiri tuna hata dalili ya kufikia huku kwa miaka 500 ijayo? Sizungumzii ukubwa wa maghorofa bali mpangilio wa mji.
 
Hujui kwamba miji inapojengwa kwa strategies nzuri hata namna ya kuprovide services kama hizo inakuwa rahisi kwa sababu Kila kitu kitakuwa na mkondo wake sahihi? Uholela nao hupelekea ugumu kwenye baadhi ya mambo sometimes..
Mipango miji inaanzia kwenye fikra. Na huyo mwamba yupo kwenye kichaka cha comfort zone cha miji ya hovyo na ameridhika kabisa.

Nafikiri hili tatizo limeanza mbali sana haswa katika elimu yetu. Maana tunaweza kumlaumu kumbe hatambui kuwa hata kupata huduma za kijamii kwa urahisi, mipango miji ni kitu muhimu sana.
 
Akili na ustaarabu unaanzia kwenye mipango miji.

Kama kuna Rais anayetafuta legacy ya kudumu asimamie mipango miji. Mipango miji ni legacy ya milele. Ukishapanga mitaa na barabara zitabaki hivyo milele. Ukishindwa kupanga kuja kurekebisha ni ngumu sana. Gharama yake ni kubwa sana kiasi kwamba huwa haiwezekani. Sasa mtu akija kwenye nchi zetu hizi za Afrika lazima atuone ni wapumbavu tu kama tunashindwa kitu kidogo sana na kisichohitaji akili kubwa cha kupanga miji na kunyosha makazi.

Watu wanaweza wakajenga nyumba za kifukara za mabanda lakini wazjenge katika mitaa iliyonyooka. Siku nchi ikitajirika au wananchi wakitajirika watabomoa vibanda hivyo na kujenga nyumba za kisasa.

Lakini huwezi kujenga barabara na mitaa iliyonyooka na ya kupendeza kama hukupanga mji na kuweka nafasi ya barabara zilizonyooka na zenye nafasi. Utafanya kwa kiasi kidogo tu kwa sababu gharama za kunyoosha mji ambao haujapangiliwa ni kubwa sana.

Tuanzie hapo kwanza ndo maendeleo tutayaona. Kuna faida nyingi sana kiuchumi za kuwa na miji na makazi yaliyopangiliwa. Usambazaji wa huduma na bidhaa unakuwa rahisi. Unaweza ukajenga kwa urahisi mifumo ya kusambaza huduma ambazo zina mchango mkubwa sana katiba pato la taifa kama vile mabomba ya maji, mabomba ya gesi, nyaya za mawasiliano (internet na cable TV), na kurahisha usafirishaji wa bidhaa na hivyo kuchochea biashara kwa njia ya Posta.

Mifano ya maeneo ambayo ni ngumu sana kuja kuyanyoosha ili yaoneshe kuwa hii nchi ina watu wenye akili:

Dar es Salaam


View attachment 2529350

Oysterbay (kushoto), Namanga (kulia)

View attachment 2529353

Mwanza (Mabatini)

View attachment 2529352

ONA NYUMBA ZA KIMASKINI LAKINI ZIMEPANGILIWA ZINAVYOPENDEZA. HAPA HATA NDO UTAJIRI UKIPATIKANA BAADAE NI RAHISI KUPABORESHA PAKAPENDEZA ZAIDI.

Kambi ya Wakimbizi Kasulu (Hii ni kazi ya UN ndo imepanga hiki kijiji cha kimaskini nyumba zimenyooka)

View attachment 2529354

Hii ni Nepal, kuna tajiri kajenga nyumba hizi za kimaskini kwa ajili ya watu wa kipato cha chini waweze kuishi vizuri. Ona zinavyopendeza kwa jinsi zilivyopangiliwa:

View attachment 2529355
View attachment 2529356

KUONESHA NI JINSI GANI WATANZANIA TUKO NYUMA KABISA KATIKA MIPANGO MIJI (YAANI HAIPO KABISA KATIKA AKILI ZETU) ONA HATA MAKABURI YETU YALIVYOKAA SHAGHALABAGHALA.

Haya ni Makaburi ya WaTanzania:

View attachment 2529338

View attachment 2529339

Linganisha na Makaburi ya watu ambao suala la mipango miji liko kwenye damu zao tayari. Haya ni makaburi ya wazungu na wahindi waliokufa katika vita ya pili ya wazungu (1938-1945), yako Dar es Salaam jirani na Nyumba ya Sanaa.

View attachment 2529344

Na haya ni makaburi kutoka nje ya nchi:

View attachment 2529346

Mimi nakerekwa sana SANA na serikali yetu jinsi ambavyo inaachia watu wajenge makazi holela holela tu. Serikali inakuwa wapi kutoa amri ya kwamba ni marufuku kujenga eneo lolote ambalo halijaingizwa katika mipango miji?

Katika suala la kuunda utitiri wa Mamlaka (Executive Agecies) kwa nini isiunde Mamlaka moja ambayo kazi yake itakuwa ni moja tu... kuhakikisha hakuna jengo lolote linalojengwa nje ya mpango mji?
Hivi serekali na miji kipikilianza?
 
Akili na ustaarabu unaanzia kwenye mipango miji.

Kama kuna Rais anayetafuta legacy ya kudumu asimamie mipango miji. Mipango miji ni legacy ya milele. Ukishapanga mitaa na barabara zitabaki hivyo milele. Ukishindwa kupanga kuja kurekebisha ni ngumu sana. Gharama yake ni kubwa sana kiasi kwamba huwa haiwezekani. Sasa mtu akija kwenye nchi zetu hizi za Afrika lazima atuone ni wapumbavu tu kama tunashindwa kitu kidogo sana na kisichohitaji akili kubwa cha kupanga miji na kunyosha makazi.

Watu wanaweza wakajenga nyumba za kifukara za mabanda lakini wazjenge katika mitaa iliyonyooka. Siku nchi ikitajirika au wananchi wakitajirika watabomoa vibanda hivyo na kujenga nyumba za kisasa.

Lakini huwezi kujenga barabara na mitaa iliyonyooka na ya kupendeza kama hukupanga mji na kuweka nafasi ya barabara zilizonyooka na zenye nafasi. Utafanya kwa kiasi kidogo tu kwa sababu gharama za kunyoosha mji ambao haujapangiliwa ni kubwa sana.

Tuanzie hapo kwanza ndo maendeleo tutayaona. Kuna faida nyingi sana kiuchumi za kuwa na miji na makazi yaliyopangiliwa. Usambazaji wa huduma na bidhaa unakuwa rahisi. Unaweza ukajenga kwa urahisi mifumo ya kusambaza huduma ambazo zina mchango mkubwa sana katiba pato la taifa kama vile mabomba ya maji, mabomba ya gesi, nyaya za mawasiliano (internet na cable TV), na kurahisha usafirishaji wa bidhaa na hivyo kuchochea biashara kwa njia ya Posta.

Mifano ya maeneo ambayo ni ngumu sana kuja kuyanyoosha ili yaoneshe kuwa hii nchi ina watu wenye akili:

Dar es Salaam


View attachment 2529350

Oysterbay (kushoto), Namanga (kulia)

View attachment 2529353

Mwanza (Mabatini)

View attachment 2529352

ONA NYUMBA ZA KIMASKINI LAKINI ZIMEPANGILIWA ZINAVYOPENDEZA. HAPA HATA NDO UTAJIRI UKIPATIKANA BAADAE NI RAHISI KUPABORESHA PAKAPENDEZA ZAIDI.

Kambi ya Wakimbizi Kasulu (Hii ni kazi ya UN ndo imepanga hiki kijiji cha kimaskini nyumba zimenyooka)

View attachment 2529354

Hii ni Nepal, kuna tajiri kajenga nyumba hizi za kimaskini kwa ajili ya watu wa kipato cha chini waweze kuishi vizuri. Ona zinavyopendeza kwa jinsi zilivyopangiliwa:

View attachment 2529355
View attachment 2529356

KUONESHA NI JINSI GANI WATANZANIA TUKO NYUMA KABISA KATIKA MIPANGO MIJI (YAANI HAIPO KABISA KATIKA AKILI ZETU) ONA HATA MAKABURI YETU YALIVYOKAA SHAGHALABAGHALA.

Haya ni Makaburi ya WaTanzania:

View attachment 2529338

View attachment 2529339

Linganisha na Makaburi ya watu ambao suala la mipango miji liko kwenye damu zao tayari. Haya ni makaburi ya wazungu na wahindi waliokufa katika vita ya pili ya wazungu (1938-1945), yako Dar es Salaam jirani na Nyumba ya Sanaa.

View attachment 2529344

Na haya ni makaburi kutoka nje ya nchi:

View attachment 2529346

Mimi nakerekwa sana SANA na serikali yetu jinsi ambavyo inaachia watu wajenge makazi holela holela tu. Serikali inakuwa wapi kutoa amri ya kwamba ni marufuku kujenga eneo lolote ambalo halijaingizwa katika mipango miji?

Katika suala la kuunda utitiri wa Mamlaka (Executive Agecies) kwa nini isiunde Mamlaka moja ambayo kazi yake itakuwa ni moja tu... kuhakikisha hakuna jengo lolote linalojengwa nje ya mpango mji?
Nakuunga mkono Kwa hili
 
Ni kweli serikali iwe inaheshimu maeneo yaliyopangwa iwe viwanja vya wazi (parks), viwanja vya michezo, makaburi n.k badala ya kila mara kubomoa na kupuuza lengo la sehemu iliyokusudiwa.

17 August 2023
Dar es Salaam, Tanzania

Gongo la Mboto waijia juu serikali



View: https://m.youtube.com/watch?v=WIQOHm-89Wk
 
Back
Top Bottom