Drama, movie au sils....? km ni sils hii season ya ngapi? Tatizo langu kumbwa hapa hii movie haina hata PG(Parental Guidance)..
yani hata watoto wanaangalia movie hiii.... Najaribu kufikiria keshokutwa yake atakuwa wap amepanda au ameshuka?
nasikia sshv anaitwa fundi nyota *****
km ww tatizo nyota basi pita pale... Nahic ndugu yangu mr dimpoz ndio mana kajisogeza pale akiamini anatengeza nyota yake..... shame on u....
Tena nakuambia nduguyangu Itakupwelepweta.... Pengine anajaribu kufanya malipizi kwa kk etu kifimbo cheza, chapa ilale, dangote... ni kweli anamkomoa au anajimaliza mwenyewe....?
Na vp akiumizwa na huyu nn kitafuata.....? kuna lundo la wagodo zetu wanamungalia sn huyu.....
Tuende na season zijazo.....


