Kama kuna Wanawake wakali wanataka watoto hawajapata

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Wadau nimeona nijiajiri.kazi zimekuwa ngumu sana. Nikaangalia haya maisha na changamoto zake kuzigeuza kuwa fursa.

Nmepata wazo, kuna watu huwa mpaka wanaenda nje ya nchi kutaka pandikiza mimba.mimi naona hiyo ni gharama.

Nitakuwa tayari kuwapa mimba wanawake ambao wana uhitaji.bei tutakubaliana na receipt ntatoa ili serikali nayo ipate chake.

Tutakuwa tunapima afya halafu mwanamke akiwa katika siku zake ananambia tunakutana sehemu nzuri ambayo angependea ndo mimba imwingie akiwa hapo. Tunafanya uchavushaji 24 hrs. Ananilipa pesa yangu ndo tunakuwa tumemaliza business.

Hili wazo limenijia baada ya kufahamu kuna watu wanaenda mpaka nje ya nchi kwa jambo hilo why? Mimi ntakuwepo na naweza ajili na jamaa wengine wawili kufanya kazi hiyo.

Pia nafikiria kufungua Kampuni ya watu ambao watakuwa tayari kuuza ini,figo,bandama na firigisi sijui mapafu. Hili jambo ntaenda ongea na wizara ya afya.maana wengine wana maini au mapafu mawili ila siyo deal maana hawana hata maisha mazuri.so ni bora auze abakiwe na moja ale maisha mazuri.

Pia huko mbeleni kama hata mtu akitaka kuuza moyo itakuwa fresh tu.anauza moyo kwa wale wenye mioyo yenye matatizo.anapewa pesa yake anaendelea na safari yake.
 
Tafuta hela we punda, ukion mpk mtot wa kike kaamua kwenda nje ujue kashatumia njia zote natural imeshndikana ko anaend huko kupata mimba kwa njia ya kitecnolojia zaid fuckn we[emoji23][emoji23]
[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Wadau nimeona nijiajiri.kazi zimekuwa ngumu sana.nikaangalia haya maisha na changamoto zake kuzigeuza kuwa fursa.

Nmepata wazo.kuna watu huwa mpaka wanaenda nje ya nchi kutaka pandikiza mimba.mimi naona hiyo ni gharama...


😆😆😆😆🤣🤣🤣🤣
 
Wadau nimeona nijiajiri.kazi zimekuwa ngumu sana.nikaangalia haya maisha na changamoto zake kuzigeuza kuwa fursa.

Nmepata wazo.kuna watu huwa mpaka wanaenda nje ya nchi kutaka pandikiza mimba.mimi naona hiyo ni gharama...
Wasiliana na bashite.

Kuna kazi hiyo Pale kwake na utapata mpunga mrefu tu.
 
Umesema kama kuna wanawake wakali ,,,je wasio wakali na wanampunga vp? au ukal wa haina gan??
 
Bangi si chai unataka uuziwe firigisi na moyo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…