Tafuta hela we punda, ukion mpk mtot wa kike kaamua kwenda nje ujue kashatumia njia zote natural imeshndikana ko anaend huko kupata mimba kwa njia ya kitecnolojia zaid fuckn we[emoji23][emoji23]
Mara nyingi tatizo lao si mwanaume wa kuwapa mimba, bali ni uhaba au kutokuwepo uwezekano wa kizazi chao kurutubisha mbegu. Yaani wewe utatoa mbegu, ila hazitarutubushwa katika uke wa mhusika. Huko nje wanaenda kuturubishwa na kupandikizwa.