Kama kuna Wanawake wakali wanataka watoto hawajapata

Tafuta hela we punda, ukion mpk mtot wa kike kaamua kwenda nje ujue kashatumia njia zote natural imeshndikana ko anaend huko kupata mimba kwa njia ya kitecnolojia zaid fuckn we[emoji23][emoji23]
Mkuu limekugusaje hili, mbona ume 'rise' sana mzuka?
 
Mara nyingi tatizo lao si mwanaume wa kuwapa mimba, bali ni uhaba au kutokuwepo uwezekano wa kizazi chao kurutubisha mbegu. Yaani wewe utatoa mbegu, ila hazitarutubushwa katika uke wa mhusika. Huko nje wanaenda kuturubishwa na kupandikizwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…