Kama kuna watu waliowahi kusomea karagwe Sekondari miaka ya 1995-2000

Kama kuna watu waliowahi kusomea karagwe Sekondari miaka ya 1995-2000

gumboot

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2014
Posts
263
Reaction score
93
Jamani hebu tukumbushane yale mambo mazuri yaliyokuwepo nyakati zile pamoja na changamoto tulizozikabilina nazo kama kufuata kuni pori,kubeba jembe ,na sahani,fyekeo,siku ya jtatu ,kukimbia mchakamchaka,kulima shamba la mahindi pamoja na bustani za matunda.
 
Nilisoma hapo tangu 1997 to 2000! Kulikuwa na mambo mengi mazuri km umeme, maji muda wote, matunda na bustani za kutosha mabweni mazuri mnalala 4 hamna kubanana, maktaba ya uhakika maabara nzuri walimu wa kutosha. Mazingira safi ya kusomea, ila kero zake sasa kulima kila siku mpaka jmosi, mchakamchaka japo tuliandamana mpaka ikatolewa, kulisha ng'ombe, bedcheking, roll call mara 4 kwa siku hadi shambani ni kuitwa majina,j3 ile master parade ni kwenda na jembe pamoja na sahani km huna unarudishwa kununua! Ki ujumla it was the best school
 
Back
Top Bottom