Kama kungekuwa na Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni waliokula hela za Sukari Wangezitapika

Kama kungekuwa na Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni waliokula hela za Sukari Wangezitapika

Bush Dokta

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2023
Posts
24,831
Reaction score
45,154
Nchi yetu ilianza kuharibika sana kuanzia pale mifumo ya wezi na watawala walipoamua kuhakikisha Tanzania haina mbunge hata mmoja wa upinzani bungeni.

Wakati wa miaka ya 2005 hadi 2015 tuliona angalau fedha za umma zikizingatiwa na kutumika kuleta maendeleo. Angalau tukaanza kuona barabara zinajengwa na shule kuongezeka, bodi ya mikopo elimu ya juu zikaimarika. Vyuo vikuu vikajengwa kwa wingi.

Mazee hizo harakati hazikuwa kwa bahati mbaya bali ni watu waliamua kutilia mkazo kwenye maendeleo na kusimamia fedha ipasavyo. Hata kama wizi ulikuwepo.

Sasa sijui Nchi yetu ikavamiwa na Zimwi gani ghafla mambo yakabadilika.

Mbunge akihoji bungeni anaambiwa anasubiriwa anyoshwe. Na Spika akagizwa huko m
bungeni anayejifanya kuongea ongea sana akomeshwe na atolewe nje.

Mipango ikasukwa na ukafanikiwa kweli.

Wakaenda mbali zaidi hao majizi kuhakikisha hakuna kuhoji kuhusu matumizi ya fedha za umma. Miradi ikawa inajiendea endea tu.

Kilele kikafikiwa 2020 wakaua mifumo yote ya usimamizi wa sera za serikali na maono yake. Kila Mtu akawa chawa wa Mfalme.

Ikawa lazima uwe chawa ili uendelee kusurvive au ku secure ajira na cheo chako.

Jahazi likazama.

Sisi tunawaangalia tu na kuwachora mnavyohangaika kutupiana maneno sijui huyu kafanya hivi huyu kafanya vile.

Mazee kuleni tu kimya kimya sisi wanyonge nchi tumewaachia na Wananchi wala hawawafatilii tena. Uzeni kila kitu mnachotaka mtuachie uhai tu.

Namsalimia Shemeji Yangu Job Ndugai hapo Kongwa. Mimi na Dada Yako salama.
 
Nchi yetu ilianza kuharibika sana kuanzia pale mifumo ya wezi na watawala walipoamua kuhakikisha Tanzania haina mbunge hata mmoja wa upinzani bungeni.

Wakati wa miaka ya 2005 hadi 2015 tuliona angalau fedha za umma zikizingatiwa na kutumika kuleta maendeleo. Angalau tukaanza kuona barabara zinajengwa na shule kuongezeka, bodi ya mikopo elimu ya juu zikaimarika. Vyuo vikuu vikajengwa kwa wingi.

Mazee hizo harakati hazikuwa kwa bahati mbaya bali ni watu waliamua kutilia mkazo kwenye maendeleo na kusimamia fedha ipasavyo. Hata kama wizi ulikuwepo.

Sasa sijui Nchi yetu ikavamiwa na Zimwi gani ghafla mambo yakabadilika.

Mbunge akihoji bungeni anaambiwa anasubiriwa anyoshwe. Na Spika akagizwa huko m
bungeni anayejifanya kuongea ongea sana akomeshwe na atolewe nje.

Mipango ikasukwa na ukafanikiwa kweli.

Wakaenda mbali zaidi hao majizi kuhakikisha hakuna kuhoji kuhusu matumizi ya fedha za umma. Miradi ikawa inajiendea endea tu.

Kilele kikafikiwa 2020 wakaua mifumo yote ya usimamizi wa sera za serikali na maono yake. Kila Mtu akawa chawa wa Mfalme.

Ikawa lazima uwe chawa ili uendelee kusurvive au ku secure ajira na cheo chako.

Jahazi likazama.

Sisi tunawaangalia tu na kuwachora mnavyohangaika kutupiana maneno sijui huyu kafanya hivi huyu kafanya vile.

Mazee kuleni tu kimya kimya sisi wanyonge nchi tumewaachia na Wananchi wala hawawafatilii tena. Uzeni kila kitu mnachotaka mtuachie uhai tu.

Namsalimia Shemeji Yangu Job Ndugai hapo Kongwa. Mimi na Dada Yako salama.
Ngoja tuone mchezo unavyoisha
 
Hakuna uongozi pale.
Ni kuuza Tanganyika yote na kuhamia Oman!
 
Fedha ipi ya uma imetumika kwenye kuagiza sukari ?! Serikali ilitoa pesa kuwapa hao wafanyabiashara binafsi au waliagizA kwa pesa zao ?! Kwenye andiko lako umetaja pesa ya uma
 
Matatizo yote haya yamesababishwa na watanganyika kuwa waoga.wasingekuwa waoga wangeshachukua hatua.tumeshuhudia kule Senegal waliwahi kuchoma moto bunge Kwa upuuzi wa spika kuwaziba midomo wa zalendo kama anavyofanya huyu Tulia
 
Hii nchi ni bora iuzwe, kila mtu achukue chake, maana wenzetu wachache ndio wanaifaidi.
 
Nawaza tu hivi kwanini kusitokee chama cha Siasa Kipya chenye Watu wapya wenye nia thabiti ya kuikomboa nchi dhidi ya ubadhilifu na upendeleo? Kwani hizi kelelezo zote za tunaibiwa zinazopigwa kila kona kila siku hazisikiki!? Huduma zimezorota kilio cha ukosefu wa dawa mahosptalini kimezidi kuongezeka na ukosefu huu chanzo ni wizi siyo ukosefu wa fedha ni aibu hata ukiwa na bima bado unazinguliwa hupewi dawa lakini wanakulazimisha usaini ili wakate pesa kwamba wamekuhudumia. Hawa tulio wapa dhamana ya kutuongoza hawatekelezi wajibu wao nasi tuendelee kuwasujudia!?Hapana lazima tutafute njia sahihi ya kuhakikisha tunaondokana na wadhalimu wote bila kujali wapo wapi.
 
Nchi yetu ilianza kuharibika sana kuanzia pale mifumo ya wezi na watawala walipoamua kuhakikisha Tanzania haina mbunge hata mmoja wa upinzani bungeni.

Wakati wa miaka ya 2005 hadi 2015 tuliona angalau fedha za umma zikizingatiwa na kutumika kuleta maendeleo. Angalau tukaanza kuona barabara zinajengwa na shule kuongezeka, bodi ya mikopo elimu ya juu zikaimarika. Vyuo vikuu vikajengwa kwa wingi.

Mazee hizo harakati hazikuwa kwa bahati mbaya bali ni watu waliamua kutilia mkazo kwenye maendeleo na kusimamia fedha ipasavyo. Hata kama wizi ulikuwepo.

Sasa sijui Nchi yetu ikavamiwa na Zimwi gani ghafla mambo yakabadilika.

Mbunge akihoji bungeni anaambiwa anasubiriwa anyoshwe. Na Spika akagizwa huko m
bungeni anayejifanya kuongea ongea sana akomeshwe na atolewe nje.

Mipango ikasukwa na ukafanikiwa kweli.

Wakaenda mbali zaidi hao majizi kuhakikisha hakuna kuhoji kuhusu matumizi ya fedha za umma. Miradi ikawa inajiendea endea tu.

Kilele kikafikiwa 2020 wakaua mifumo yote ya usimamizi wa sera za serikali na maono yake. Kila Mtu akawa chawa wa Mfalme.

Ikawa lazima uwe chawa ili uendelee kusurvive au ku secure ajira na cheo chako.

Jahazi likazama.

Sisi tunawaangalia tu na kuwachora mnavyohangaika kutupiana maneno sijui huyu kafanya hivi huyu kafanya vile.

Mazee kuleni tu kimya kimya sisi wanyonge nchi tumewaachia na Wananchi wala hawawafatilii tena. Uzeni kila kitu mnachotaka mtuachie uhai tu.

Namsalimia Shemeji Yangu Job Ndugai hapo Kongwa. Mimi na Dada Yako salama.
100%
 
Hii nchi ni bora iuzwe, kila mtu achukue chake, maana wenzetu wachache ndio wanaifaidi.
Unadhani ikiuzwa, utapaa mgao wako halali sawa na waliokule juu? Mgao wako ukiwa pesa ya kujenga ghorofa, utapewa laki ukajenge msonge wa tope kijijin kwenu.
 
Back
Top Bottom