Kama kuoa ni raha basi tusiwaone na michepuko sehemu za starehe na kwenye Magest

Kama kuoa ni raha basi tusiwaone na michepuko sehemu za starehe na kwenye Magest

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Mawakala wa kampeni ya kuoa na ndoa ni raha, tafadhari jiheshimuni sana, endapo kuoa ni raha na ndoa pia ni raha basi tunawaonya iwe ni marufuku tusiwaone kwenye sehemu zetu za bata na kwenye Magest mkiwa na michepuko.

Hio mizunguko tuwaone mkiwacna wake zenu wa ndoa.

Sauti iwafikie popote mlipo wenye michepuko ili hali mmeoa na mnataabika.

Shukrani 🙏🙏🙏

Wadiz
 
Ndoa sio Utapeli.

Kufeli kwa ndoa ni kutokana na matumizi mabovu ya akili ya mwanaume kumchagua mwanamke asiye na akili.
Wanawake wenye akili wapo ila sisi bila physical expression, tunawaona kama takataka.
 
Yaani mwanaume unaona kabisa demu anafanya kazi bar, club au ulipata taarifa chuoni alikuwa ni kiwembe, au unakuta demu anapenda attention mtandaoni, yeye bila mtandao anaweza kufa, alafu unafumba macho kisa ni mrembo.

Unaoa unakuja kushtuka you made the worst mistake, hapo lazima mchepuko ahusike.
 
Waje wanafanya zinaa kutuzidi sisi halafu wanahimiza upumbavu wanaoukataa kwa vitendo wao wenyewe. Hawatupati hawa wazinzi
Yaani zinaa inaanza kabla ya ndoa.

Yule ambaye hajawahi mla demu kabla ya kuoa au demu ambaye hajawahi kuliwa na kutunza bikra zao, hao ni wasafi.

The rest ni wachafu tu sema si unajua ndoa ni legal contract yenye Faida kwa mwanamke. Ndo maana ndoa hazidumu, watu hawapati ladha kama walizokuwa wanapata kwenye uzinzi
 
.
Screenshot_20230920_222028_X.jpg
 
Back
Top Bottom