Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Hii naona ndio mnataka kuumiza watu kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtaalam wa nyetoHii naona ndio mnataka kuumiza watu kabisa
View attachment 2765269
Kama huyu jamaa alisha dharau na kusema mtandaoni wapo 16% tuu huo mtandao anao zungumzia ni upi?Hii naona ndio mnataka kuumiza watu kabisa
View attachment 2765269
Ila huyu jamaa sijuwi huwa anawaza nin kuhusu hili Taifa..,Hii naona ndio mnataka kuumiza watu kabisa
View attachment 2765269
Huyu jamaa ni nani kwenye tume ya uchaguzi mpaka asema ''tuna.......''. Ndiyo, najua kuwa tume ya uchaguzi ni kikaragosi cha CCM lakini hii ni dharau mabya sana kwa wapiga kura wa Tanzania. Hapa wameshaona hali ni ngumu na wananchi wanaweza kukinukisha wakiiba tena..Maandalizi ya udokozi wa kura
Halafu hayo aliyosema yalikuwa majukumu ya time ya uchaguzi- huyu Nape Kila akifungua mdomo kwenye kadamunasi- ni hatari na nusu - kauli za ukakasi tu…Huyu jamaa ni nani kwenye tume ya uchaguzi mpaka asema ''tuna.......''. Ndiyo, najua kuwa tume ya uchaguzi ni kikaragosi cha CCM lakini hii ni dharau mabya sana kwa wapiga kura wa Tanzania. Hapa wameshaona hali ni ngumu na wananchi wanaweza kukinukisha wakiiba tena..
Kwa video hii Chadema mtapitia wapi? Mnajijazaga tuu upepoHii naona ndio mnataka kuumiza watu kabisa
View attachment 2765269
Ule uhuni wa covid_19 plus utakuwa mara buku,huo mfumo ukitumika🏃🏃🏃.Sema hii watàfanya manipulation hawa wahuni
Wakiruhusu transparency itaonesha uhalisia sema wataenda kuchokonoa database ndo wataharibuUle uhuni wa covid_19 plus utakuwa mara buku,huo mfumo ukitumika🏃🏃🏃.
Mifumo kama hiyo inahitaji uwajibikaji wakweli,uadilifu wa mifumo na tabia za jamii yenyewe katika uwajibikaji,na uwajibishwaji wa kizalendo na sio ule wa kimaslahi,🤔Wakiruhusu transparency itaonesha uhalisia sema wataenda kuchokonoa database ndo wataharibu
Sikumbuki exactly unaweza nirekebisha/nikumbusha! Nliskia Kuna dogo aliwahi tengeneza mfumo ambao unaweza tumika katika uchaguzi na utakua unaonesha matokeo kadri watu wanavopiga kura, kama zoezi likikamilika saa kumi kamili na matokeo yatakua yanaonekana on timeMifumo kama hiyo inahitaji uwajibikaji wakweli,uadilifu wa mifumo na tabia za jamii yenyewe katika uwajibikaji,na uwajibishwaji wa kizalendo na sio ule wa kimaslahi,🤔
Kwa wataalamu wa IT watukumbushe hili tafadhali.🤔Sikumbuki exactly unaweza nirekebisha/nikumbusha! Nliskia Kuna dogo aliwahi tengeneza mfumo ambao unaweza tumika katika uchaguzi na utakua unaonesha matokeo kadri watu wanavopiga kura, kama zoezi likikamilika saa kumi kamili na matokeo yatakua yanaonekana on time
Mi binafsi ni mtu wa IT, ila hyo nlikuta kama storyKwa wataalamu wa IT watukumbushe hili tafadhali.🤔