Kama Kutoa mimba ni kosa nchini Tanzania basi Wema Sepetu akamatwe

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426


Wema Sepetu ametangaza mwenyewe mitaani na mitandaoni kwamba aliwahi kutoa mimba mbili za Marehemu Kanumba, kwamba " alivinyongelea " mbali vitoto vya Kanumba (bado haijafahamika sababu ya kufanya unyama huo)

Bali kinachofahamika ni kwamba Nchini Tanzania ni kosa kisheria kutoa mimba , na yuko daktari wa Hospitali ya meno ya Sinza ambaye amepewa kesi ya utakatishaji pesa tsh laki 2 na elfu sitini kwa tuhuma za utoaji mimba.

Kwanini Wema Sepetu aliyekiri mwenyewe hadharani kuchoropoa mimba mbili za Kanumba asikamatwe na kushitakiwa?
 
Kumbe ndio maana haliolewi liko nungayembe tu kutwa kuzungusha makalio tu barabarani
aiseee..., futa hiyo comment, jaribu kuheshimu hisia za mtu, huyo ni binadamu pia na ana feelings, au mnataka anywe sumu ndio mfurahi? unagifikiri yeye hajutii alichofanya? na hili liwe fundisho kwa wadada wenye tabia za kuua vitoto tumboni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…