Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Ujio wa Lissu mtatangaziwa kuwa na subraAnaweza kusema alinukuliwa vibaya au alitoa hiyo comment kwenye kazi zake za sanaa. Haya mambo hayana ushahidi. Huyo ni msanii.
Nje ya topic: Lissu anarudi lini?
Akane video zakeUkimpeleka mahakamani atakwambia utoe ushahidi kama kweli ametoa mimba hapo ndipo atakapokuacha.
#Bagwell
Kumbe ndio maana haliolewi liko nungayembe tu kutwa kuzungusha makalio tu barabarani
aiseee..., futa hiyo comment, jaribu kuheshimu hisia za mtu, huyo ni binadamu pia na ana feelings, au mnataka anywe sumu ndio mfurahi? unagifikiri yeye hajutii alichofanya? na hili liwe fundisho kwa wadada wenye tabia za kuua vitoto tumboniKumbe ndio maana haliolewi liko nungayembe tu kutwa kuzungusha makalio tu barabarani
Kwahiyo hata wewe hujui ndio maana unavuta muda na story za Wema?Ujio wa Lissu mtatangaziwa kuwa na subra
Hujiskii vibaya na hii comment yako? Huna watoto? Huna ndugu? Mungu akurehemu.Kumbe ndio maana haliolewi liko nungayembe tu kutwa kuzungusha makalio tu barabarani
Za wema ni zake na suala la Lissu umeleta weweKwahiyo hata wewe hujui ndio maana unavuta muda na story za Wema?
Kwahiyo za Wema hazikuhusu?Za wema ni zake na suala la Lissu umeleta wewe
bila shaka huna akiliKwahiyo za Wema hazikuhusu?
Mkuu akili ninazo. Naomba jibu.bila shaka huna akili
Na ajisikie muuaji anahitaji maneno matamu? Kuua watoto wawili na hajisikii chochote mbwa huyoHujiskii vibaya na hii comment yako? Huna watoto? Huna ndugu? Mungu akurehemu.
π π π π π aisee, mtaani watapungua tutapiga puli mpaka basikama ni hivyo 90% ya wadada watatakiwa wakalale ndani..
[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]Mbona watu wanatangaza hadharani kuwa wanavuta bangi na hawakamatwi.
Makosa makubwa hapa Afrika ni kusumbua au kuingilia watawala, hayo mambo mengine hakuna anayejali