Masikini Dada Wema!..πππ inabidi atubu.Kumbe ndio maana haliolewi liko nungayembe tu kutwa kuzungusha makalio tu barabarani
Jamaa mjinga kweli kwenye mambo ya sheria. Anafikiri mtu akisema nimefanya jambo fulani basi moja kwa moja anatiwa hatiani.Ukimpeleka mahakamani atakwambia utoe ushahidi kama kweli ametoa mimba hapo ndipo atakapokuacha.
#Bagwell
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Africa yetuMbona watu wanatangaza hadharani kuwa wanavuta bangi na hawakamatwi.
Makosa makubwa hapa Afrika ni kusumbua au kuingilia watawala, hayo mambo mengine hakuna anayejali