Little brain
JF-Expert Member
- Oct 31, 2020
- 4,282
- 6,303
Luc Eymael hakukosea kuwaita mibwatukaji .Kuna mashabiki wa
simba/zuwena fc wamejipa jukumu la kumtetea fei..wanajikuta wanajua mambo mengi ya timu kubwa kuliko timu yao yenye migogoro ya viongozi kila kukicha.
NAWAKUMBUSHA TU
kama kuvunja mkataba ni rahisi basi Manzoki angekuwa Zuwena fc.
Very relevant,kudo![emoji109][emoji109][emoji109][emoji109]Kuna mashabiki wa
simba/zuwena fc wamejipa jukumu la kumtetea fei..wanajikuta wanajua mambo mengi ya timu kubwa kuliko timu yao yenye migogoro ya viongozi kila kukicha.
NAWAKUMBUSHA TU
kama kuvunja mkataba ni rahisi basi Manzoki angekuwa Zuwena fc.
Kuna mashabiki wa
simba/zuwena fc wamejipa jukumu la kumtetea fei..wanajikuta wanajua mambo mengi ya timu kubwa kuliko timu yao yenye migogoro ya viongozi kila kukicha.
NAWAKUMBUSHA TU
kama kuvunja mkataba ni rahisi basi Manzoki angekuwa Zuwena fc.
Huna hoja, umeandika mipasho, na hii ni JF.Kuna mashabiki wa
simba/zuwena fc wamejipa jukumu la kumtetea fei..wanajikuta wanajua mambo mengi ya timu kubwa kuliko timu yao yenye migogoro ya viongozi kila kukicha.
NAWAKUMBUSHA TU
kama kuvunja mkataba ni rahisi basi Manzoki angekuwa Zuwena fc.
Tatizo la mashabiki wengi wa simba, ni usahaulifu. Dakika mbili mbele, wameshasahau.Kuna mashabiki wa
simba/zuwena fc wamejipa jukumu la kumtetea fei..wanajikuta wanajua mambo mengi ya timu kubwa kuliko timu yao yenye migogoro ya viongozi kila kukicha.
NAWAKUMBUSHA TU
kama kuvunja mkataba ni rahisi basi Manzoki angekuwa Zuwena fc.
Alie waita mbumbumbu na ndunduka Bado wapo haiLuc Eymael hakukosea kuwaita mibwatukaji .
Na minyani utoLuc Eymael hakukosea kuwaita mibwatukaji .
Jibu hojaHuna hoja, umeandika mipasho, na hii ni JF.
Kuweka kumbukumbu sawa, kuvunja mkataba ni jambo la kawaida kabisa na sio jambo la ajabu.
Mbona hamkuvunja mkataba wa manzoki uliokuwa umebakiza miezi tu...mpaka wachina wakamnunuaHuna hoja, umeandika mipasho, na hii ni JF.
Kuweka kumbukumbu sawa, kuvunja mkataba ni jambo la kawaida kabisa na sio jambo la ajabu.
Zuwena fc mipasho kawaida yenu.Luc Eymael hakukosea kuwaita mibwatukaji .
Mkataba wa manzoki uliwatoa jasho. Zuwena fcNa minyani uto