Little brain
JF-Expert Member
- Oct 31, 2020
- 4,282
- 6,303
Kuna mashabiki wa
simba/zuwena fc wamejipa jukumu la kumtetea fei..wanajikuta wanajua mambo mengi ya timu kubwa kuliko timu yao yenye migogoro ya viongozi kila kukicha.
NAWAKUMBUSHA TU
kama kuvunja mkataba ni rahisi basi Manzoki angekuwa Zuwena fc.
simba/zuwena fc wamejipa jukumu la kumtetea fei..wanajikuta wanajua mambo mengi ya timu kubwa kuliko timu yao yenye migogoro ya viongozi kila kukicha.
NAWAKUMBUSHA TU
kama kuvunja mkataba ni rahisi basi Manzoki angekuwa Zuwena fc.