Zilipendwa...... za zamani sanaKwa beki katili na makini kama kina Sol Campel,Vidic,Ferdinand,Paulo Maldin,Nesta,Zambrota,Chivu,Puyol,Robert Carlos etc ila bado washambuliaji wa kipindi kile Kina Van Neestrol,Rau,Dwight Yorke,Andy Cole,Ronaldo De lima na wengineo walifunga magoli mengi tu.
Ingekuaje kama Washambuliaji hawa wangekua zama hizi za beki jamii ya kina Pique,Umtiti,Smaling,Jones,Cahil,Varane,Ramos,Boateng etc wangeweza kuwika au beki hizi zingeweza kuwazuia?
Mkuu game hii naikumbuka hakuwa Cafu nakumbuka alikuwa Genero Gattuso 'katili' (if mistaken on the name spelling correct me). Jamaa alitembea na Ronaldo hadi kahama namba na baadae kutolewa kabisaaa!Kuna ukweli hapa mkuu mabeki na viungo wakabaji wa zamani walikuwa waakabaji kweli tofauti na siku hizi wengi wana ruka ruka tu.
Vuta picha Messi angekabwa na mtu kama Edger Davis au Patrick Viera kama tungeona hata hizo goli 50 wanazofunga ndani ya msimu mmoja.
Nakumbuka Cristiano Ronaldo aliwahi kukabwa na Cafu mpaka akahama namba na mwisho wa siku akafanyiwa sub kabisa.
Inashangaza sana kuona siku hizi eti beki kama Gerald Pique nae anaingia kwenye kikosi bora cha FIFA. Hakuna mabeki kabisa siku hizi
Yeah... Kabisa mkuu, unajua Man u alikutana na AC Millan mara mbili ndani ya misimu miwili na zote man u alitupwa nje.Mkuu game hii naikumbuka hakuwa Cafu nakumbuka alikuwa Genero Gattuso 'katili' (if mistaken on the name spelling correct me). Jamaa alitembea na Ronaldo hadi kahama namba na baadae kutolewa kabisaaa!
Mkuu hiyo game naikumbuka, Gatuso alimkaba Ronaldo kikatili sanaMkuu game hii naikumbuka hakuwa Cafu nakumbuka alikuwa Genero Gattuso 'katili' (if mistaken on the name spelling correct me). Jamaa alitembea na Ronaldo hadi kahama namba na baadae kutolewa kabisaaa!
Mpira umebadilika sana sasa hivi watu wanacheza kwa nafasi na timu nzima inashiriki kukaba na ku recover mpira ndo maana mabeki wenye nguvu wanaweza kutokuwa na umuhimu badala yake wakatakiwa mabeki ambao ni flexible sana kama kina Ramos ,Thiago silva, Dani alves , philipo lahm n.k
Zamani hakukuwa na kitu kama false nine lakini kutokana na mabadiliko haya washambuliaji hawakai mbele sana kufukuzana na mabeki bali wanawinda nafasi ndo kitu cha msingi.
Haya yamefanyika baada ya wadau wa mpira kuusoma mpira kwa mda mrefu na kuja na njia mbadala. Kama unaikumbuka barca ya Guardiola utakuwa unanielewa , hii timu ilihenyesha dunia kwa mpira wao na ilikuwa mfano wa kuigwa.
PumbaKwa beki katili na makini kama kina Sol Campel,Vidic,Ferdinand,Paulo Maldin,Nesta,Zambrota,Chivu,Puyol,Robert Carlos etc ila bado washambuliaji wa kipindi kile Kina Van Neestrol,Rau,Dwight Yorke,Andy Cole,Ronaldo De lima na wengineo walifunga magoli mengi tu.
Ingekuaje kama Washambuliaji hawa wangekua zama hizi za beki jamii ya kina Pique,Umtiti,Smaling,Jones,Cahil,Varane,Ramos,Boateng etc wangeweza kuwika au beki hizi zingeweza kuwazuia?
Pumba
Vidic na Ferdinand alipiga kichwa katikati yaoHao mabeki uchwara aliowataja mleta uzi washukuru Mungu hawajakutana na KING MESSI. Messi angewaziba midomo.
Vidic na Ferdinand alipiga kichwa katikati yao
Mkuu hiyo game naikumbuka, Gatuso alimkaba Ronaldo kikatili sana