bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,679
Kwa beki katili na makini kama kina Sol Campel,Vidic,Ferdinand,Paulo Maldin,Nesta,Zambrota,Chivu,Puyol,Robert Carlos etc ila bado washambuliaji wa kipindi kile Kina Van Neestrol,Rau,Dwight Yorke,Andy Cole,Ronaldo De lima na wengineo walifunga magoli mengi tu.
Ingekuaje kama Washambuliaji hawa wangekua zama hizi za beki jamii ya kina Pique,Umtiti,Smaling,Jones,Cahil,Varane,Ramos,Boateng etc wangeweza kuwika au beki hizi zingeweza kuwazuia?
Ingekuaje kama Washambuliaji hawa wangekua zama hizi za beki jamii ya kina Pique,Umtiti,Smaling,Jones,Cahil,Varane,Ramos,Boateng etc wangeweza kuwika au beki hizi zingeweza kuwazuia?